Askofu Bagonza na Askofu Mwaipopo, msaidieni mwenzenu Dkt. Mwaikali kwa kumpa uchungaji Dayosisi zenu

Askofu Bagonza na Askofu Mwaipopo, msaidieni mwenzenu Dkt. Mwaikali kwa kumpa uchungaji Dayosisi zenu

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Kama unafiki wa kidini upo basi kuumbuliwa ni sasa.

Dkt Mwaikali aliyekuwa Askofu Dayosisi ya Konde, kibarua kimeota nyasi.

Sasa Maaskofu waliokuwa wakimpigia chapuo la nguvu ni Benson Bagonza wa Dayosisi ya Karagwe na Ambele Mwaipopo wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Sumbwanga.

Hawa Maaskofu wawili ndio waliokuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Dr Mwaikali na usaliti wake kwa kanisa la KKKT.

Mimi nawaomb hao maaskofu wawili wasiwe wanafiki, wampatie kazi ya uchungaji kwenye Dayosisi zao.
 
Kama unafiki wa kidini kuumbuliwa ni sasa.
Dr Mwaikali aliyekuwa Askofu Dayosisi ya Konde, kibarua kimeota nyasi.

Sasa Maaskofu waliokuwa wakimpigia chapuo la nguvu ni Benson Bagonza wa Dayosisi ya Karagwe na Ambele Mwaipopo wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Sumbwanga.

Hawa Maaskofu wawili ndio waliokuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Dr Mwaikali na usaliti wake kwa kanisa la KKKT.

Mimi nawaomb hao maaskofu wawili wasiwe wanafiki, wampatie kazi ya uchungaji kwenye Dayosisi zao.
Basi sawa.
 
Ukumbuke wakati wa shida marafiki hukimbia.
 
AENDE kwa mwamakula, mwanakondoo ameshinda
Mtu laghai, si mkweli, muongo muongo, mpenda pesa, mpenda ugomvi, nani atataka awe naye kuchunga kondoo.
Huyu Mwaikali atakula hao kondoo badala ya kuchunga.
 
  • Thanks
Reactions: PhD
Sasa Bagonza atamchua vipi, Kanisa sio la askofu yeye amefukuzwa na KKKT ameondolewa wakfu wa kicungaji na kiaskofu atakuwa mshirika wa kawaida. hawezi tena kuhudumu dayosisi yoyote wala ushirika wowote wa KKKT labda akaungane na mwamposa, mwamakula
 
Au akamsaidie gwaji boy anapokuwa Bungeni yeye achunge kanisa lake pale Ubungo
 
Sasa Bagonza atamchua vipi, Kanisa sio la askofu yeye amefukuzwa na KKKT ameondolewa wakfu wa kicungaji na kiaskofu atakuwa mshirika wa kawaida. hawezi tena kuhudumu dayosisi yoyote wala ushirika wowote wa KKKT labda akaungane na mwamposa, mwamakula
Ni kweli mkuu,
Hao Maaskofu Bagonza na Mwaipopo walikuwa wakimpa kichwa huyu Dr Mwaikali na kumpa moyo kuwa anaweza fanya lolote kwenye Dayosisi yake na haingiliwi na mtu awaye yote.
Sasa Mwaikali yamemkuta, hadi kulala selo, wampe ulaji basi huko Dayosisi zao.
 
Kwani ukiondolewa kwenye uaskofu unarudi kuwa muumini wa kawaida au unaendelea kuwa mchungaji. Maana nijuavyo uchungaji ni taaluma haiwezi kuondolewa, labda uaskofu ambao ni madaraka.
 
Kwani ukiondolewa kwenye uaskofu unarudi kuwa muumini wa kawaida au unaendelea kuwa mchungaji. Maana nijuavyo uchungaji ni taaluma haiwezi kuondolewa, labda uaskofu ambao ni madaraka.
Kwa kweli hili la kuileta hapa kuwaomba hao Maaskofu Bagonza na Mwaipopo kumwajiri mwenzao ni kama kuwaambia na wao wajitathmini yasije yakawapata ya Mwaikali.
 
AENDE kwa mwamakula, mwanakondoo ameshinda
Kwani'' askofu Mwamakula'' ana kanisa? usione zile kofia zake zake anazojishonea mwenyewe, angekuwa na kanisa tungeliona mkuu.
 
Kwani'' askofu Mwamakula'' ana kanisa? usione zile kofia zake zake anazojishonea mwenyewe, angekuwa na kanisa tungeliona mkuu.
Dah😆😁
JF haitaisha vituko.
Nimecheka mnoo baada ya kuisoma hii post.
 
Back
Top Bottom