ASKOFU BAGONZA - TUSIITAKE SERIKALI KUINGILIA UHURU WA KUABUDU, LABDA PAWEPO JINAI

ASKOFU BAGONZA - TUSIITAKE SERIKALI KUINGILIA UHURU WA KUABUDU, LABDA PAWEPO JINAI

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
WARSHA KUHUSU MAFUNDISHO POTOSHI

Katika kongamano lililowaleta viongozi kadhaa wa dini mbalimbali Tanzania, baba Askofu Bagonza alichangia mada

Bagonza ataja hatari SITA kuhusu Mafundisho potoshi. Wewe zako ni zipi?


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZGhFhp6v6WE

Baba Askofu Bagonza amesema kuna juhudi za kuitaka serikali ya Tanzania kuingilia uhuru wa kuabudu kwa kisingizio cha wahubiri kupotosha. Amesema hiyo si sawa maana na ni hatari zaidi kwa serikali kuingilia shughuli za imani ya kidini. Maana je ikibidi sheikh au askofu au mchungaji akitakiwa kupeleka mahubiri yake kwa DC Mkuu wa wilaya au polisi kila ijumaa, jumamosi au jumapili ikapitiwe na mamlaka za dola kabla ya kuruhusiwa mahubiri kufanya si itakuwa hatari!

Naye sheikh akichangia mada amesema BAKWATA na sheikh mkuu mufti wa Tanzania kwa kushirikiana na Mfalme Mohammed VI wa Morocco wameanda na kuwezesha waumini kwenda sawa ili kujiepusha na mahubiri potofu

Washiriki pia wamegusia jinsi viongozi wa kidini baadhi yao wanashiriki utoroshaji magendo, biashara ya binadamu n.k kwa mwamvuli wa taasisi zao za kidini

Viongozi hao wanatenda jinai wakijihusisha na magendo, biadhara haramu n.k na wanastahili kushughulikiwa kwa kutenda jinai hizo...
 
WARSHA KUHUSU MAFUNDISHO POTOSHI

Katika kongamano lililowaleta viongozi kadhaa wa dini mbalimbali Tanzania, baba Askofu Bagonza alichangia mada

View: https://m.youtube.com/watch?v=ZGhFhp6v6WE

Baba Askofu Bagonza amesema kuna juhudi za kuitaka serikali ya Tanzania kuingilia uhuru wa kuabudu kwa kisingizio cha wahubiri kupotosha. Amesema hiyo si sawa maana na ni hatari zaidi kwa serikali kuingilia shughuli za imani ya kidini. Maana je ikibidi sheikh au askofu au mchungaji akitakiwa kupeleka mahubiri yake kwa DC Mkuu wa wilaya au polisi kila ijumaa, jumamosi au jumapili ikapitiwe na mamlaka za dola kabla ya kuruhusiwa mahubiri kufanya si itakuwa hatari!

Naye sheikh akichangia mada amesema BAKWATA na sheikh mkuu mufti wa Tanzania kwa kushirikiana na Mfalme Mohammed VI wa Morocco wameanda na kuwezesha waumini kwenda sawa ili kujiepusha na mahubiri potofu

Washiriki pia wamegusia jinsi viongozi wa kidini baadhi yao wanashiriki utoroshaji magendo, biashara ya binadamu n.k kwa mwamvuli wa taasisi zao za kidini

Viongozi hao wanatenda jinai wakijihusisha na magendo, biadhara haramu n.k na wanastahili kushughulikiwa kwa kutenda jinai hizo...

Upuuzi watu, ujing wa watu, ulofa wa watu wajinga.... mnakwenda kufanya nini huko misikitini na makanisani?
 
WARSHA KUHUSU MAFUNDISHO POTOSHI

Katika kongamano lililowaleta viongozi kadhaa wa dini mbalimbali Tanzania, baba Askofu Bagonza alichangia mada

View: https://m.youtube.com/watch?v=ZGhFhp6v6WE

Baba Askofu Bagonza amesema kuna juhudi za kuitaka serikali ya Tanzania kuingilia uhuru wa kuabudu kwa kisingizio cha wahubiri kupotosha. Amesema hiyo si sawa maana na ni hatari zaidi kwa serikali kuingilia shughuli za imani ya kidini. Maana je ikibidi sheikh au askofu au mchungaji akitakiwa kupeleka mahubiri yake kwa DC Mkuu wa wilaya au polisi kila ijumaa, jumamosi au jumapili ikapitiwe na mamlaka za dola kabla ya kuruhusiwa mahubiri kufanya si itakuwa hatari!

Naye sheikh akichangia mada amesema BAKWATA na sheikh mkuu mufti wa Tanzania kwa kushirikiana na Mfalme Mohammed VI wa Morocco wameanda na kuwezesha waumini kwenda sawa ili kujiepusha na mahubiri potofu

Washiriki pia wamegusia jinsi viongozi wa kidini baadhi yao wanashiriki utoroshaji magendo, biashara ya binadamu n.k kwa mwamvuli wa taasisi zao za kidini

Viongozi hao wanatenda jinai wakijihusisha na magendo, biadhara haramu n.k na wanastahili kushughulikiwa kwa kutenda jinai hizo...

Ila wao ni sawa kuingilia uhuru wa siasa na Nchi Kwa maslahi ya Vyama na watu wanaowaumga mkono?

Huyu anatakiwa kuja kushikishwa adabu.

State ni Zaidi ya hizo dini zenu za Wazungu na Waarabu
 
Ila wao ni sawa kuingilia uhuru wa siasa na Nchi Kwa maslahi ya Vyama na watu wanaowaumga mkono?

Huyu anatakiwa kuja kushikishwa adabu.

State ni Zaidi ya hizo dini zenu za Wazungu na Waarabu

Kule nchini Morocco kumetolewa tamko kuwa viongozi wa dini au viongozi wa dhehebu kupigwa marufuku kuunga mkono chama cha siasa.

Mfano BAKWATA au ELCT KKKT au CCT kuonekana kuunga mkono sera au chama fulani nchini Morocco ni marufuku

TOKA MAKTABA :

Morocco yastukia vyama vyenye mrengo wa kidini au kuungwa mkono na viongozi wa dini


Tangu mwanzo wa mchakato, ushiriki wa uchaguzi umebadilisha sana itikadi na mbinu za kisiasa za Waislam hao. Baada ya kubadilisha jina lake kutoka Reform na Renewal mwaka wa 1996, Movement for Unity and Renewal (MUR) mpya iliwasilisha PJD kama chama chake cha kwanza cha kisiasa mwaka wa 1998. [18] Huku makundi mengine ya Kiislamu kama Haki na Kiroho yakizuiliwa kushiriki kisiasa, PJD. aliweza kujinufaisha na kukua kwa umaarufu wa Uislamu kwa ujumla, na kufanikiwa kushinda viti 42 kati ya 295 katika uchaguzi wa wabunge wa 2002. [19] Ingawa PJD ilipoteza msingi katika matokeo ya mara moja ya milipuko ya 2003 na mageuzi ya Mudawwana ya 2004 -ambayo hatimaye ilitia saini mwaka wa 2005-ilipata tena makali katika uchaguzi wa 2011 kwa asilimia 27 ya kura, kutosha kuunda chama. serikali ya mseto na kupata katibu mkuu wake, Abdelilah Benkirane, wadhifa wa waziri mkuu. [20]
The Opposition Effect: Islamism and Women’s Rights in the Midst of Morocco’s Family Code Reform
Ushiriki wa uchaguzi ulihitaji maelewano makubwa kuhusiana na baadhi ya vipengele vya kidini vilivyo wazi zaidi vya jukwaa la PJD, hata hivyo. Hii ni pamoja na kufuata sheria za serikali zinazokataza kampeni za kisiasa katika maeneo ya misikiti na kuwazuia watu wa dini kama maimamu kugombea nyadhifa za kisiasa. [21] PJD pia imeachana na lengo la taifa la Kiislamu kwa msingi kwamba Morocco, chini ya uongozi wa Mfalme, "tayari [ilikuwa] moja." [22] Matamshi ya kidini pia yalipunguzwa. Kama waziri mkuu mteule mwaka wa 2011, Benkirane alisema kwamba mara tu atakapoingia ofisini, "Sitawahi kupendezwa na maisha ya kibinafsi ya watu. Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu akiwa huru.” [23] Ingawa Waislam wenye msimamo mkali zaidi walikashifu hatua hizi kama usaliti kuu, hasara za uchaguzi za Ennahda ya Tunisia na mapinduzi ya 2013 ambayo yalilengua Udugu wa Kiislamu wa Misri yalisaidia PJD kuuza mkakati huu wa kuishi kama mafanikio: mfano ambao umefafanuliwa kama. "Tofauti na Udugu, toleo lake bora zaidi, Uislamu 2.0."
Source : READ MORE: The Opposition Effect: Islamism and Women’s Rights in the Midst of Morocco’s Family Code Reform
 
Kule nchini Morocco kumetolewa tamko kuwa viongozi wa dini au viongozi wa dhehebu kupigwa marufuku kuunga mkono chama cha siasa.

Mfano BAKWATA au ELCT KKKT au CCT kuonekana kuunga mkono sera au chama fulani nchini Morocco ni marufuku

TOKA MAKTABA :

Morocco yastukia vyama vyenye mrengo wa kidini au kuungwa mkono na viongozi wa dini


Tangu mwanzo wa mchakato, ushiriki wa uchaguzi umebadilisha sana itikadi na mbinu za kisiasa za Waislam hao. Baada ya kubadilisha jina lake kutoka Reform na Renewal mwaka wa 1996, Movement for Unity and Renewal (MUR) mpya iliwasilisha PJD kama chama chake cha kwanza cha kisiasa mwaka wa 1998. [18] Huku makundi mengine ya Kiislamu kama Haki na Kiroho yakizuiliwa kushiriki kisiasa, PJD. aliweza kujinufaisha na kukua kwa umaarufu wa Uislamu kwa ujumla, na kufanikiwa kushinda viti 42 kati ya 295 katika uchaguzi wa wabunge wa 2002. [19] Ingawa PJD ilipoteza msingi katika matokeo ya mara moja ya milipuko ya 2003 na mageuzi ya Mudawwana ya 2004 -ambayo hatimaye ilitia saini mwaka wa 2005-ilipata tena makali katika uchaguzi wa 2011 kwa asilimia 27 ya kura, kutosha kuunda chama. serikali ya mseto na kupata katibu mkuu wake, Abdelilah Benkirane, wadhifa wa waziri mkuu. [20]
The Opposition Effect: Islamism and Women’s Rights in the Midst of Morocco’s Family Code Reform
Ushiriki wa uchaguzi ulihitaji maelewano makubwa kuhusiana na baadhi ya vipengele vya kidini vilivyo wazi zaidi vya jukwaa la PJD, hata hivyo. Hii ni pamoja na kufuata sheria za serikali zinazokataza kampeni za kisiasa katika maeneo ya misikiti na kuwazuia watu wa dini kama maimamu kugombea nyadhifa za kisiasa. [21] PJD pia imeachana na lengo la taifa la Kiislamu kwa msingi kwamba Morocco, chini ya uongozi wa Mfalme, "tayari [ilikuwa] moja." [22] Matamshi ya kidini pia yalipunguzwa. Kama waziri mkuu mteule mwaka wa 2011, Benkirane alisema kwamba mara tu atakapoingia ofisini, "Sitawahi kupendezwa na maisha ya kibinafsi ya watu. Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu akiwa huru.” [23] Ingawa Waislam wenye msimamo mkali zaidi walikashifu hatua hizi kama usaliti kuu, hasara za uchaguzi za Ennahda ya Tunisia na mapinduzi ya 2013 ambayo yalilengua Udugu wa Kiislamu wa Misri yalisaidia PJD kuuza mkakati huu wa kuishi kama mafanikio: mfano ambao umefafanuliwa kama. "Tofauti na Udugu, toleo lake bora zaidi, Uislamu 2.0."
Source : READ MORE: The Opposition Effect: Islamism and Women’s Rights in the Midst of Morocco’s Family Code Reform
Hata hapa Tanzania tuige Morocco
 
serikali futeni dini ,wekeni twiga awe munguwetu ,mana hawa wamekuwa waganga wa kienyeji na hawakemeani
 
22 December 2024

Mzee wa miaka 99 afia gerezani na ujumbe kwa Rais Samia | GUMZO MAALUM | Sheikh Ponda & M.Ghassani



View: https://m.youtube.com/watch?v=ArdvNBip-3I
Shahidi Sheikh Suleiman Mohammed Abdallah Ulekule amerejea kwa Mola wake akiwa na umri wa miaka 99 akiwa gerezani alikokaa kwa miaka tisa, tangu yeye na watu 15 wa ukoo wake walipokamatwa mwaka 2015.

Sheikh Suleiman Mohammed Abdallah Uletule amefariki dunia mwaka mmoja baada ya ndugu yake mwenye umri wa miaka 79 naye kutangulia mbele ya haki akiwa pamoja naye gerezani. Sheikh Ponda Issa Ponda amekuwa akiwahangaikia ndugu hao kwa muda wote tangu wamepatwa na balaa hili.
 
Back
Top Bottom