ASKOFU Benson Bagonza amesema Rais ni sehemu ya bunge, Bunge haliwezi kuiwajibisha Serikali kwa kuwa Rais ni sehemu ya Bunge.
"Rais ni sehemu ya bunge, Bunge haliwezi kuiwajibisha Serikali kwa kuwa Rais ni sehemu ya bunge, lakini Rais huyo huyo ndiye anayewateua Jaji Mkuu na majaji wengine na hata Mahakama zinamuomba Rais fedha za kufanya shughuli zake, hivyo ni vigumu kuwa na ripoti ya CAG zinazofanyiwa kazi kikamilifu" Askofu Dkt.Benson Bagonza
"Katika Taifa letu nimegundua hatuna kitu kinachoaitwa Separation of powers (mgawanyo wa madaraka), kwamba Bunge, Serikali na Mahakama zinafanya kazi independently (zikijitegemea) Nachikiona ni kama tuna hangover (mning'nio) ya kutoka chama kimoja, tulitoka chama kimoja lakini kimsingi bado mambo yote yamekaa kichama kimoja kwamba Bunge, Serikali hata pengine mahakama ni mali ya chama" Askofu Dkt. Benson Bagonza
"Rais ni sehemu ya bunge, Bunge haliwezi kuiwajibisha Serikali kwa kuwa Rais ni sehemu ya bunge, lakini Rais huyo huyo ndiye anayewateua Jaji Mkuu na majaji wengine na hata Mahakama zinamuomba Rais fedha za kufanya shughuli zake, hivyo ni vigumu kuwa na ripoti ya CAG zinazofanyiwa kazi kikamilifu" Askofu Dkt.Benson Bagonza
"Katika Taifa letu nimegundua hatuna kitu kinachoaitwa Separation of powers (mgawanyo wa madaraka), kwamba Bunge, Serikali na Mahakama zinafanya kazi independently (zikijitegemea) Nachikiona ni kama tuna hangover (mning'nio) ya kutoka chama kimoja, tulitoka chama kimoja lakini kimsingi bado mambo yote yamekaa kichama kimoja kwamba Bunge, Serikali hata pengine mahakama ni mali ya chama" Askofu Dkt. Benson Bagonza