Pre GE2025 Askofu Bagonza: Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini

Pre GE2025 Askofu Bagonza: Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Askofu Bagonza aeleza namna 4R za Rais Samia Suluhu Hassan zilizotekwa na baadhi ya watu kwa kushindwa kuzifuata kama alivyokuwa akitaka Rais zifuatwe.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Aidha amesema Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini mtu akiwa ametoa maoni yake tu, na kufikia hatu kuifanya nchi kuonekana ya magaidi.

 
JPM NDYE MWASISI WA HUO UKATILI WA KUTEKA NA KUUA.HAYA YOTE NI MATOKEO YA JPM
 
Wakosoaji wako wengi sana ...kila eneo ....kwanini hao tu ndio yawakute ?!!
 
Askofu Bagonza aeleza namna 4R za Rais Samia Suluhu Hassan zilizotekwa na baadhi ya watu kwa kushindwa kuzifuata kama alivyokuwa akitaka Rais zifuatwe.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Aidha amesema Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini mtu akiwa ametoa maoni yake tu, na kufikia hatu kuifanya nchi kuonekana ya magaidi.

Nchi zinazoongoza kwa WATU KUPOTEA ;
-MAREKANI -Mwaka 2021.... waliripotiwa kupotea watu 521,705.
-India -Kila baada ya saa 1 watu 88 hupotea.
-Uingereza -watu 180,000 kwa mwaka.
-Sri Lanka-makumi ya maelfu kila mwaka.
 
Chifu Hangaya aka Chura Kiziwi nikusihi kuna mazuri ya kurithi toka kwa Mtanguzi wako JIWE lakini haya;
  • Kutekana
  • Kuharibu na kubaka UCHAGUZI
-;Kupenda kusifiwa sifiwa...HAYA SIO , YANAKUCHAFUA
 
Chifu Hangaya aka Chura Kiziwi nikusihi kuna mazuri ya kurithi toka kwa Mtanguzi wako JIWE lakini haya;
  • Kutekana
  • Kuharibu na kubaka UCHAGUZI
-;Kupenda kusifiwa sifiwa...HAYA SIO , YANAKUCHAFUA
Hivi kuna mtu amesifiwa zaidi ya baba wa taifa ?!!

Sisi ni waafrika wenye TAKRIMA nyingi sana ,sidhani kumsifia Rais(chief comforter of the nation) ni kitu kibaya....

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa watu kupotea(2021-watu 521,705),India -watu 88 kila saa 1 , Uingereza -watu 180,000 kwa mwaka.
Biashara ya HUMAN TRAFFICKING ni pana sana...
 
Si
Hivi kuna mtu amesifiwa zaidi ya baba wa taifa ?!!

Sisi ni waafrika wenye TAKRIMA nyingi sana ,sidhani kumsifia Rais(chief comforter of the nation) ni kitu kibaya....

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa watu kupotea(2021-watu 521,705),India -watu 88 kila saa 1 , Uingereza -watu 180,000 kwa mwaka.
Biashara ya HUMAN TRAFFICKING ni pana sana...
SIjasema Kupenda kusifiwa, nimeandika kupenda kusifiwa sifiwa..Baba wataifa alisifiwa
 
Si mlisema ni hayati Magufuli anateka watu mbwa nyie
Kwani Magufuli hakuteka? Ben Saanane kapotea Hivi Hivi kama mchezo na boss wake Mbowe hata hakulivalia njuga suala la kupotea kwake!
 
Back
Top Bottom