johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naona Kada wa CCM kajitutumua hapo Hadi kusema hivyo, Malasusa buanaMkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa
Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr Sendoro wa Mwanga
Askofu Dr Malasusa amesema hali ni mbaya ikiwa ni pamoja na Ongezeko la ajali za barabarani
Askofu Dr Malasusa amesema Damu zinavyozidi kumwagika ndio nchi inaingia kwenye Laana hivyo amewataka wachungaji kuanza Maombi rasmi kumuomba Mungu wa mbinguni atuepushie Laana nchi nzima
Source Upendo Tv
Kuna mtu anabaki na genge lake tu....Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa
Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr Sendoro wa Mwanga
Askofu Dr Malasusa amesema hali ni mbaya ikiwa ni pamoja na Ongezeko la ajali za barabarani
Askofu Dr Malasusa amesema Damu zinavyozidi kumwagika ndio nchi inaingia kwenye Laana hivyo amewataka wachungaji kuanza Maombi rasmi kumuomba Mungu wa mbinguni atuepushie Laana nchi nzima
Source Upendo Tv
Utekaji ndio nguzo pekee wanayotegemea hao viongozi ili waweze kuendelea kubaki madarakani. Wakiacha Halafu itakuwaje kuhusu hatma ya vyeo vyao?Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa
Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr Sendoro wa Mwanga
Askofu Dr Malasusa amesema hali ni mbaya ikiwa ni pamoja na Ongezeko la ajali za barabarani
Askofu Dr Malasusa amesema Damu zinavyozidi kumwagika ndio nchi inaingia kwenye Laana hivyo amewataka wachungaji kuanza Maombi rasmi kumuomba Mungu wa mbinguni atuepushie Laana nchi nzima
Source Upendo Tv
Kweli kabisaUtekaji ndio nguzo pekee wanayotegemea hao viongozi ili waweze kuendelea kubaki madarakani. Wakiacha Halafu itakuwaje kuhusu hatma ya vyeo vyao?
Huyo sijui ni mchagga wa wapi? 🐼KAZI ipo , huyu nae eti ni Dr hahahahaa View attachment 3098598
Hatimaye kada wa CCM na Afisa kipenyo ajitutumua kuongelea utekaji unaoratibiwa na Idara yakeMkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa
Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr Sendoro wa Mwanga
Askofu Dr Malasusa amesema hali ni mbaya ikiwa ni pamoja na Ongezeko la ajali za barabarani
Askofu Dr Malasusa amesema Damu zinavyozidi kumwagika ndio nchi inaingia kwenye Laana hivyo amewataka wachungaji kuanza Maombi rasmi kumuomba Mungu wa mbinguni atuepushie Laana nchi nzima.
Source Upendo Tv
View attachment 3098585
Wakati wa dhalimu Magufuli Kanisa lilikemea bila woga uovu wake. Makafiri wa Bakwata ndiyo walikuwa wanamshangilia hadi yule Sheikh wa Dar akakufuru kuwa Magufuli ni zaidi ya Mungu na Mtume Mohamed au ulikuwa kwenu Nanjilinji unakula panya .MAKAFIR ACHENI CHOKO CHOKO,KIPINDI KILE MWENDAZAKE ANASUMBUA WATU HATUWAHI KUSKIA KELELE KAMA HIZO.
Huyu bwege si ndiye alimuombea dhalim apate Corona na kweli ombi lake likakubalika Corona ikamfyekelea mbali.KAZI ipo , huyu nae eti ni Dr hahahahaa View attachment 3098598
Kumbe na yeye ni mmoja wao
Si Mkuu wa nchi kasema utekaji ni Drama,sasa wakina Dotto watakomeshaje!!!Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa
Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr Sendoro wa Mwanga
Askofu Dr Malasusa amesema hali ni mbaya ikiwa ni pamoja na Ongezeko la ajali za barabarani
Askofu Dr Malasusa amesema Damu zinavyozidi kumwagika ndio nchi inaingia kwenye Laana hivyo amewataka wachungaji kuanza Maombi rasmi kumuomba Mungu wa mbinguni atuepushie Laana nchi nzima.
Source Upendo Tv
View attachment 3098585
Alikuwa Kijijini kwao Nanguruwe 😀Wakati wa dhalimu Magufuli Kanisa lilikemea bila woga uovu wake. Makafiri wa Bakwata ndiyo walikuwa wanamshangilia hadi yule Sheikh wa Dar akakufuru kuwa Magufuli ni zaidi ya Mungu na Mtume Mohamed au ulikuwa kwenu Nanjilinji unakula panya .