LGE2024 Askofu Dkt. Shoo atoa wito kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Serikali kuchukua hatua dhidi ya Hujuma za Uchaguzi

LGE2024 Askofu Dkt. Shoo atoa wito kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Serikali kuchukua hatua dhidi ya Hujuma za Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Akizungumza hii leo na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa linaloendelea nchini, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo ameitaka serikali na wasimamizi wa uchaguzi kufanya kazi kwa uadilifu na bila upendeleo wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Soma: Askofu Fredrick Shoo alia na rafu zinazoendelea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ataja mbinu zinazotumika kuengua Wagombea!
 
Back
Top Bottom