Askofu Dr Malasusa: Yesu hakutumia nguvu kumshusha Zakayo bali alitumia Neno la Mungu wa Mbinguni na Zakayo akashuka mwenyewe!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Baba Askofu Dr Malasusa amesema Yesu Kristo hakutumia nguvu kumshusha Zakayo bali alitumia Neno la Mungu wa Mbinguni " Zakayo Leo wokovu umefika nyumbani mwako"

Askofu Dr Malasusa amesema hayo wakati akiweka Jiwe la msingi la Ujenzi wa Kanisa la KKKT Kibiti

Aidha Askofu Dr Malasusa amewashukuru Waislamu wa Kibiti na Shehe wa Wilaya hiyo kwa mahusiano na Ushirikiano Mzuri wanaopeana Wananchi bila kujali Itikadi za kiimani

Source: Upendo Tv

Nawatakia Dominica Njema πŸ˜„
 
Huyu ni kada mwenzetu wa ccm.
 
πŸ‘
 
Yuko kwenye payroll ya TISS ndo maana alipewa USHINDI na serikali kumuangusha BAGONZA kwenye uchaguzi.
 
CCM wamemtuma aende Kibiti kufanya kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…