Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Poleni sana makamu wa Rais. Mungu awake faraja.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
View attachment 2089457
View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
R.I.PMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
View attachment 2089457
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amehani msiba wa kaka yake, Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango aliyefariki jana jijini Dar es Salaam
View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
RIP Bishop, we lived as brothers those daysMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
View attachment 2089457
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amehani msiba wa kaka yake, Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango aliyefariki jana jijini Dar es Salaam
View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango