Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima ameonesha njia, wanaompinga hawana hoja

Wanasahau
 
Yani hii,Iko sawa nazani wasomuelewa Gwajima Ni Sasa wwatamuelewaaa
# ila mlaka hapa utaona Wengine bado wataendelea kupingaaa
Tatizo amekula matapishi yake. Aliwah sema uaskofu wake hawezi kujishusha na kuwa mgombea wa Urais,ubunge.....
 
Gwajima anatania tu. Ubunge na Uwaziri ni nafasi ndogo mnooo kuliko uaskofu wake, according to him!
 
Hakuna shida kiongozi wa kidini kufanya shughuri za kisiasa. Shida ni kuwa na ndimi mbili. Huyu ndg anasahau alichosema tena madhabahuni. Anajipinga huyu. Na hapoo.... aaa... bila shaka anataka kuwapima wapiga kura. Yeyote atakayepinga haya atolee kwanza ufafanuzi wa maneno ya awali ya mchungaji.
 
Kama amekutuma uje kumtafutia ushawishi umepotea mkuu,yeye alishasema nimkubwa kuliko mbuge,waziri na Rais,sasa anataka ubunge wa nini? Kiongozi wa dini kuwa na ndimi mbili ni hatari sana
Hatari kwako usio jua acha sisi tusonge mbele
 
nyie kazi yenu ni kuchunga kondoo wa bwana na kuwarekebisha watawala wanapokengeuka ili watawale kwa misingi ya HAKI na USAWA. Yohana mbatizaji alikosoa yote ya watawala bila aibu wala woga hadi ikafikia hatua ya watawala kumkata kichwa!!

Sasa kiongozi wa dini unapofumbia macho masuala ya watu kupotea, kuumizwa, kutishwa, kubakiziwa kesi zisizo na dhamana - then unarudi kuwapa suppport watawala wa sampuli hii basi na wewe na wao ni lenu moja.
 
Askofu Laswai kwa utopolo uliouandika hapa ni dhahiri wewe ni dizaini ya huyu changono, na wewe anguko lako linakuja. Unaacha kuwalisha neno la uzima waumini wako huko unaleta mipasho eti wapinzani wanamuonea wivu huyu mhuni. Lazima na wewe unayo makandokando na kwa vile umekuja anga hizi jiandae
 
Hawa siku hizi wanalenga sadaka na kujitafunia kondoo wao tu
 

Attachments

  • IMG-20200708-WA0022.jpg
    24.7 KB · Views: 3
Ndo mchaguweni atakapo fika bungeni akeme Ayo Mambo ,siuna mjuaga awezi kumvumilia panapo pinda??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…