Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima ameonesha njia, wanaompinga hawana hoja

Acha upotoshaji wewe ,
 
We nitafute tu maana kondooo mm mzee uwe una meno makali Tena ikiwezekana utafute kinoleo ujinowe ili ukija kunila meno yawe na makali maana unaweza ukaliwa ww
Mbona mchecheto we tulia halafu utaleta mrejesho
 
Ukristo una “evolve” kutoka Jesus for love, kupitia Jesus for money na hatimaye Jesus for power.

Hivyo hamna mbaya yeye kutaka kuwa mbunge. Anafuata tu njia ya kawaida ya uibukaji wa dini zote.

Ila kwa ule ujinga aliojaribu kuwalisha watanzania kuwa chanzo cha Covid 19 ni mionzi ya 5G anatakiwa aombe radhi.

Kinyume cha hapo labda wapiga kura waendelee kuamini tu kuwa Saddam Hussein alikuwa rais wa Kuwait/Libya.
 
Wiki yote hii nikikosa update ya maana kwenye forum yoyote narudi kuendelea kusoma hili chapisho🤕.
 
Mkuu nadhani hoja Kubwa ni Kauli yake ya Kwamba Ubunge, Urais, Uwaziri ni kujishusha; Yeye kama Mtumishi wa Mungu aliongea ivi;
Ila Dini na Siasa sidhani kama ni tatizo na ina mashiko.
 
Kuna wana ccm 175 wenye Nguvu zao kwa nini mnampigia ngoma huyo Gwajima mwenye kutengeneza hela za bure kutoka kwa waumini Wake? Mnataka akusanye zaidi za bure tena? Siyo Kawe labda kwingine!
 
Kula matapishi yeye si wakwanza kwani kuna taasisi ilishakula matapishi yake vizuri tu na maanisha Chadema kwa mzee Lowasa
 
Mbona unatutoa kwenye Ukweli kijana , ata Msigwa ni mchungaji lakini pia ni Mbunge, kinachojadiliwa hapa ni UNAFIKI wa Gwajima kudai yeye ni mkubwa kuliko UBUNGE hivyo hawezi KUJISHUSHA sasa kipo WAPI? umekula matapishi yake mchana KWEUPE siku nyingine aache kuropoka kama mtu aliekunywa Gongo , na hili tumalizane nae afute kauli ile hapa mtu anakaangwa na mafuta yake
 
Askofu Rognes kweli una njaa kali mno nimeipima kupitia gazeti uliloandika ukipinga hoja za raia kumkataa Pornstar , tapeli Gwajima , mzinzi wa wazi kwenye public na mbaguzi wa kidini asietaka waislam wakimbizi duniani kupata mahali salama!!

Video ya Gwajima ya ngono nimeiangalia mara kumi nikajihakikishia ni yeye hakuna editing yoyote viungo vyote vya mwili vina uwiano sawa na rangi ya mwili ni moja kuanzia miguu hadi kichwani , ni aibu mno kuwa na kiongozi mzinzi asie na aibu na mbaguzi wa kidini!

wajumbe tupeni heshma wapigakura wenu tuondoleeni takataka Gwajima!
 
Watu mna moyo. Kusoma riwaya ndefu Hivi kutoka kwa mleta mada. Nmesoma robo Ila mtiririko wake na ujengaji wa hoja umenishinda.

Mada haisjawishi kuisoma yote.
 
Wewe umetumwa kumchafulia maana chama kimekataza promo kwenye any media
 
Kama.hana madhara mbona mnatoa milio Sana kana kwamba ametangaza pekeake kugombea nchi nzima
Kuna ile hoja ya uadilifu kuwa "...anakula kondoo anaopaswa kuchunga, tena hata wake za watu". Hili limekaaje?
 
Mkuu iko deep mno. Gwajima ni habari nyingine.
Nakumbuka kipindi cha uchaguzi 2015 wapinzani walisema kwamba nchi hii ingekuwa na akina Gwajima watano tungekuwa mbali..lakini leo kibao kimegeuka, imekuwa dini na siasa..ama kweli mkuki kwa nguruwe
2015 sio 2020 alipofanya zuri aliambiwa na kama kaamua kutafuna kauli zake mwenyewe pia anaambiwa , mtu kama huyu unawezaje kuendelea kumuita mtumishi wa Mungu? jitafakari
 
Wewe umetumwa kumchafulia maana chama kimekataza promo kwenye any media
 
Hafai kua hata diwani rudi ukamwambie Tena na aache kukutuma kuja na mabandiko marefu hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…