Waterloo JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 25,356 Reaction score 38,922 Jul 25, 2021 #21 Stores said: Nakubaliana kabisa na askofu hizi Chanjo hazitufai kabisa tuzikatae kwa Nguvu zote ,kwanza Hatuna research ya kutosha Yani zitatuangamiza wa Africa Click to expand... Toa solution tutumie nini?
Stores said: Nakubaliana kabisa na askofu hizi Chanjo hazitufai kabisa tuzikatae kwa Nguvu zote ,kwanza Hatuna research ya kutosha Yani zitatuangamiza wa Africa Click to expand... Toa solution tutumie nini?
Franky Samuel JF-Expert Member Joined Oct 10, 2018 Posts 5,195 Reaction score 13,785 Jul 25, 2021 #22 Haya machumia tumbo kuyaelewa shida sana
fidel castro wapili JF-Expert Member Joined Mar 18, 2017 Posts 3,497 Reaction score 2,911 Jul 28, 2021 #23 Franky Samuel said: Haya machumia tumbo kuyaelewa shida sanaView attachment 1867778 Click to expand... Leo kadungwa chabega hatar sana hao ndio viongoz tumewapa dhamana ya inchi yetu, jana walisema hiv leo vile.
Franky Samuel said: Haya machumia tumbo kuyaelewa shida sanaView attachment 1867778 Click to expand... Leo kadungwa chabega hatar sana hao ndio viongoz tumewapa dhamana ya inchi yetu, jana walisema hiv leo vile.