Askofu Gwajima apigwa kombora Bungeni na Mbunge wa Mtambwe, Khalifa Issa


Mashariki ya kati ni wapi wewe mdada wa kigalatia? Usikimbie lakini!!!!
 
Wapi kamtaja gwajima hau unaweweseka?
 
Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Ufufuo na uzima ina fanya kazi ya kufufua wasio na dhambi!!

Lkn jiwe alikuwa na dhambi nyingi hata hakukumbuka kutubu.
Wizi tena wa kibabe.

Uoneaji tu anatumbua maskini
wajeda anawaogopa basi walipe si walitumikia sirikali? Hkn.

Amewaonea sana kina kabendera na wenzake Mungu akamuonyesha.

Hakuwahi kumjua Mungu wa kweli.

Mchoyo hata kwa vitu vidogodogo tu.urais haukumtosha.
Mpayukaji hovyo.

Sura mbaya mweusiiiiiiiiiiioooooooo
Sasa ntu km huyu atafufuka kweli???

Malaika watakwambia usitutanie
 
Hacha wafu wazikane, una taka kumzika mfu mwenzio?
 
Huyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.

Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
Hacha wafu wazikane, je ana leta utani na kifo au ana tukana wafu kwa kauli hii?
 
Aisee!😭
 
Wacha roho mbaya mwambie nabii wako amfufuwe jiwe
 
Unajua maana ya majungu? Utakuwa mfuasi wa gwajima wewe.
Sio mfuasi ni msukule yaan huyu haumwambii chochote khs Gwaji boy,yeye gwaji ni zaidi ya wazaz wake,anamheshim anampenda gwaji kuliko hata wazaz wake ila ukimuuliza kwa nn hata hajui sbb,yaan tafsiri yake kichwani pako wazi
 
Sio mfuasi ni msukule yaan huyu haumwambii chochote khs Gwaji boy,yeye gwaji ni zaidi ya wazaz wake,anamheshim anampenda gwaji kuliko hata wazaz wake ila ukimuuliza kwa nn hata hajui sbb,yaan tafsiri yake kichwani pako wazi
Duuh! Queen Esther ya kweli haya!
 
Imani hiiimejaa ujinga.
Nani asiyejua kwamba Yesu alifufu wafu maalumu kwa lengo maalumu tena kwa jina Mungu Mkuu Baba aliye mtuma.

Leo anakuja Mjanja anadanganya watu mchana kweupe na kuwachukulia pesa zao kwa mafundisho ya uongo?

Tuweni wakweli jamani, watanzania wasichezewe akili zao kama majuha.

Ukiristo ulio safi mbona upo na hatujawahaipo kuyasikia haya.?
 
Mi nashauri Pia wizara ya Mambo ya ndani waongeze kitengo Cha UFUFUAJI.
 
Gwajima siyo mtu mzuri alijikausha kama vile hafufuagi wafu. Au hiyo nafasi alikuwa anaitaka yeye.
 
Ukitumwa wakiristo utaleta Gwaji boy? Tapeli tu kama matapeli mengine
 
hivi mbona wabunge wamekuwa wapum bavu hivi. wananchi wanashida majinboni wao wanaongea upuuzi mi ndio maana huwa sipigi kura
Hawa wabunge wengine waropokaji Walibebwa na Hayati Magufuli halafu wanamletea dhihaka. Ajabu sana. Waache kudemka sana. Wanamwaibisha RAIS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…