Askofu Gwajima apigwa kombora Bungeni na Mbunge wa Mtambwe, Khalifa Issa

Bunge letu ni tatizo kubwa yaani watu wanajadili mambo haya badala ya kuwaza maendeleo poor you
Kama walipita bila kupingwa yaani kufanyiwa vetting na wananchi mbona hayo ni madogo tutegemee zaidi.
Mimi sikutegemea swali kama hili toka kwa mbunge aisee
 
Kwa lugha nyingine anaitwa"Dii" yaani tapeli wa kimataifa!
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna kufa kwa aina mbili moja kufa kichawi na kufa kiMungu.
Kufa kichawi unauliwa na wachawi kisha unafichwa kiroho yaani watu wa kawaida awakuoni but unakuwepo duniani ukitumika hadi mda wako maalumu ambao Mungu ataamua kukuondoa duniani.
Anaeweza kufufuliwa ni yule aliyekufa kichawi yaani msukule.
 
Hahahahaha, Gwajima amfufue mwendazake
 
Kama walipita bila kupingwa yaani kufanyiwa vetting na wananchi mbona hayo ni madogo tutegemee zaidi.
Mimi sikutegemea swali kama hili toka kwa mbunge aisee

Yaani ni fedheha sana hili Bunge
Na mwingine eti anataka kupiga Sarakasi
Jamaa wanacheza na hela zetu sana na dharau juu
 
Gwajima amelezwa na viatu kinguvu
 
Hakuna mkristo wa kweli ambaye anaweza kuwakilishwa na msanii kwa Gwajima.
 
Gwajima ana roho mbaya sana ana maujanja ya kufufua wafu sasa iweje amchunie mshikaji?
 
Akisema kufufua ni vibaya atakua ametukosea sana, huyo sheick! Lakini kama anatusisitiza kuitimiza imani yetu, ya kufufua, kwa vitendo, ni mwenzetu kabisa! Kwanini le Bishop asiitimize iyo imani!?
 
Huyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.

Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
Kwa hiyo, kwa sababu kila Mtu atakufa, watu waiongelee kifo!? Usitishe watu kwamba nao watakufa kwa nia ya kuwazuia kujadili kifo kolichokuuma Wewe!
 
Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Anatumikia adhabu!! angepona km angeenda kwa shetani moja kwa moja sasa jiwe yeye alikuwa vuguvugu!! hata hajui yuko upande gani!! Mungu akamtema!! vijini vikamuokota sasa anabeba mtondoo wa vijini ahera huko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…