Askofu Gwajima keshakuwa nuksi Kawe

Askofu Gwajima keshakuwa nuksi Kawe

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.

Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.

Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili kero za wana Kawe zitatuliwe.

Kuna kero kuu za :

- Barabara-ukilinganisha na wilaya nyngine za DSM Kawe iko nyuma sana. Miradi ya barabara ni kama hakuna, leo nenda Kijichi na mtu unajionea kile serikali imewekeza kwa makazi huko.

- Hospitali kubwa Kawe-kwa sasa hospitali kubwa za kutegemewa Kawe ni kama hakuna. Ugomvi wa Askofu na "mke" wao, Dorothy Gwajima unaleta ukakasi mkubwa kattika ushirikiano wa kupata hospitali kubwa aeneo ya Mbezi, Bunju. Mbweni au Tegeta.

- Uendelezaji wa maeneo ya wazi, michezo na kwa ujumla upendezeshaji wa eneo lote la Kawe, ndio kwa heri. Uwanja wa Tanganyika Packers unabaki kuwa magofu ya kutisha kwa miaka nenda rudi.

Kiujumla tulichotegemea toka kwa Askofu Gwajima ni kama tumelamba kadi gharasha badala ya kadi turufu.
 
Yaani haki yako ukaipigie magoti?Basi tutachelewa sana kufika
Mkuu siasa ni zaidi ya unayoyaona mitaani.
Ndio ushangae kuwa kwa nini Kijichi na Buza barabara za lami hadi uchochoroni wakati huku kulikopangwa zaidi barabara ni za matope na wakati wa mvua hazipitki
 
Bado jimbo lipo upinzani,si kuna wakati alijinasibu ana hela ya kununua treni ya kuleta waumini wake kanisani yako wapi kakimbilia posho za ubunge.
 
Kazi sana. Huyu mzee akimalizana huko atanikuta nasubiri kuhamia Marekani. Nipo nasubiria
 
Kazi sana. Huyu mzee akimalizana huko atanikuta nasubiri kuhamia Marekani. Nipo nasubiria
Huyu ndio psychologists wanaita "habitual liar", mwongo mzoefu asiye na haya wala kuumwa kudanganya jamii.
Katika kanisa , mtu mwongo na anayeeneza uongo ni mwenzake na Ibilisi.
Exodus 20:16

Thou shalt not bear false witness against thy neighbor.
 
Labda akiwekwa ndugu yako atayamaliza matatizo yote ya wana Kawe maana atasikilizwa kila ofisi.
Gwajima yeye anaondoka mwandae tu mjoba wako akachukue form.

Wabunge wangapi wamepita Kawe na hawajamaliza matatizo ya barabara akiwemo Mdee miaka 10.
Leo unataka Gwajima kwa miezi tu amalize matatizo yote?
 
Labda akiwekwa ndugu yako atayamaliza matatizo yote ya wana Kawe maana atasikilizwa kila ofisi.
Gwajima yeye anaondoka mwandae tu mjoba wako akachukue form.

Wabunge wangapi wamepita Kawe na hawajamaliza matatizo ya barabara akiwemo Mdee miaka 10.
Leo unataka Gwajima kwa miezi tu amalize matatizo yote?
Gwajima hana tena mtaji wa goodwill toka viongozi wenzake serikalini.
Hana tofauti na aliyetoka chama cha upinzani, Halima Mdee, na hilo mimi naona ni nuksi!
 
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.

Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.

Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili kero za wana Kawe zitatuliwe.

Kuna kero kuu za :

-Barabara-ukilinganisha na wilaya nyngine za DSM Kawe iko nyuma sana. Miradi ya barabara ni kama hakuna, leo nenda Kijichi na mtu unajionea kile serikali imewekeza kwa makazi huko.

-Hospitali kubwa Kawe-kwa sasa hospitali kubwa za kutegemewa Kawe ni kama hakuna. Ugomvi wa Askofu na "mke" wao, Dorothy Gwajima unaleta ukakasi mkubwa kattika ushirikiano wa kupata hospitali kubwa aeneo ya Mbezi, Bunju. Mbweni au Tegeta.

-Uendelezaji wa maeneo ya wazi, michezo na kwa ujumla upendezeshaji wa eneo lote la Kawe, ndio kwa heri. Uwanja wa Tanganyika Packers unabaki kuwa magofu ya kutisha kwa miaka nenda rudi.

Kiujumla tulichotegemea toka kwa Askofu Gwajima ni kama tumelamba kadi gharasha badala ya kadi turufu.
Tatizo ni mfumo CCM tulionao, bila kuuondoa mfumo huu tusitegemee mabadiliko.
 
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.

Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.

Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili kero za wana Kawe zitatuliwe.

Kuna kero kuu za :

-Barabara-ukilinganisha na wilaya nyngine za DSM Kawe iko nyuma sana. Miradi ya barabara ni kama hakuna, leo nenda Kijichi na mtu unajionea kile serikali imewekeza kwa makazi huko.

-Hospitali kubwa Kawe-kwa sasa hospitali kubwa za kutegemewa Kawe ni kama hakuna. Ugomvi wa Askofu na "mke" wao, Dorothy Gwajima unaleta ukakasi mkubwa kattika ushirikiano wa kupata hospitali kubwa aeneo ya Mbezi, Bunju. Mbweni au Tegeta.

-Uendelezaji wa maeneo ya wazi, michezo na kwa ujumla upendezeshaji wa eneo lote la Kawe, ndio kwa heri. Uwanja wa Tanganyika Packers unabaki kuwa magofu ya kutisha kwa miaka nenda rudi.

Kiujumla tulichotegemea toka kwa Askofu Gwajima ni kama tumelamba kadi gharasha badala ya kadi turufu.

Mitano tena
 
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.

Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.

Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili kero za wana Kawe zitatuliwe.

Kuna kero kuu za :

-Barabara-ukilinganisha na wilaya nyngine za DSM Kawe iko nyuma sana. Miradi ya barabara ni kama hakuna, leo nenda Kijichi na mtu unajionea kile serikali imewekeza kwa makazi huko.

-Hospitali kubwa Kawe-kwa sasa hospitali kubwa za kutegemewa Kawe ni kama hakuna. Ugomvi wa Askofu na "mke" wao, Dorothy Gwajima unaleta ukakasi mkubwa kattika ushirikiano wa kupata hospitali kubwa aeneo ya Mbezi, Bunju. Mbweni au Tegeta.

-Uendelezaji wa maeneo ya wazi, michezo na kwa ujumla upendezeshaji wa eneo lote la Kawe, ndio kwa heri. Uwanja wa Tanganyika Packers unabaki kuwa magofu ya kutisha kwa miaka nenda rudi.

Kiujumla tulichotegemea toka kwa Askofu Gwajima ni kama tumelamba kadi gharasha badala ya kadi turufu.
Nchi hii uongo na kutokuwa wa kweli ni kama utamaduni hivi
Gwajima anapambana na waongo na wanafiki wa kisiasa, Ana misimamo na kile anachokiamini na Jamii inavyoamini,
Tatzo ni kwamba na ww mtoa post ni bendela fuata upepo kama wanao muita kumhoji tu, wakitetea matumbo yao
Gwajima yuko tyr kuachia jimbo na wala si kuunga mkono unafiki uliokubuu kwa viongozi wa CCM,
Ukiwa mkweli na mwenye misimamo kutetea Jamii yako mbele ya mafedhuli yaliyo tayari kusaliti ukweli Basi ww utaitwa nuksi kama unavyodai mtoa post,
Kwetu sisi tulio na misimamo huwa hatuoni tabu kuachia nafasi na kutojihusisha na ma genge ya kinafiki kama magenge ya Samia na CCM yake,
Gwajima si bendela fuata upepo, anajua hatari itayomkumba lakn hayuko tyr kushiriki usaliti

Marehem alizungukwa na nyoka wakubwa kuliko alivyodhani, ila kupitia yeye rangi za viongozi wetu zimejulikana na si jambo la kumwamini tena jirani yako ama ndgu yako kiivo, binadamu ni nyoka mwenye kukupumbaza ili apate upenyo wa kukumaliza
Samia asijione kawini gemu, bado Ana minyoka iliyotoa ndimi kumzuru kam alivyo saliti maono ya mtangulizi wake.
Hongereni sana wenye hizo rangi maaana mtaendelea kubadilika mpaka mwisho wenu kwa kufuata upepo wa aliye juu yenu
Sisi tulioamua kufuata njia kuu tuendelee kupitia maumivu tunayoyapitia
RIP JMP baba wa misimamo isiyoyumba, tutakukumbuka sana na tutaiishi falsafa yako

wanafnz wako wa pekee aliye baki mpaka sasa akiishi falsafa yako ni Gwajima na slow slow tu
Bashiru amekaa pembeni aki record wangapi walio baki na yeye atatoa majumuisho ya game kama kweli ulipata kueleweka kwa wale ulikokuwa ukiwaamini
 
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.

Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.

Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili kero za wana Kawe zitatuliwe.

Kuna kero kuu za :

- Barabara-ukilinganisha na wilaya nyngine za DSM Kawe iko nyuma sana. Miradi ya barabara ni kama hakuna, leo nenda Kijichi na mtu unajionea kile serikali imewekeza kwa makazi huko.

- Hospitali kubwa Kawe-kwa sasa hospitali kubwa za kutegemewa Kawe ni kama hakuna. Ugomvi wa Askofu na "mke" wao, Dorothy Gwajima unaleta ukakasi mkubwa kattika ushirikiano wa kupata hospitali kubwa aeneo ya Mbezi, Bunju. Mbweni au Tegeta.

- Uendelezaji wa maeneo ya wazi, michezo na kwa ujumla upendezeshaji wa eneo lote la Kawe, ndio kwa heri. Uwanja wa Tanganyika Packers unabaki kuwa magofu ya kutisha kwa miaka nenda rudi.

Kiujumla tulichotegemea toka kwa Askofu Gwajima ni kama tumelamba kadi gharasha badala ya kadi turufu.
WEWE ULIEWEKA BANDIKO HUKUIBA KURA KWA AJILI YA GWAJIMA
 
Nchi hii uongo na kutokuwa wa kweli ni kama utamaduni hivi
Gwajima anapambana na waongo na wanafiki wa kisiasa, Ana misimamo na kile anachokiamini na Jamii inavyoamini,
Tatzo ni kwamba na ww mtoa post ni bendela fuata upepo kama wanao muita kumhoji tu, wakitetea matumbo yao
Gwajima yuko tyr kuachia jimbo na wala si kuunga mkono unafiki uliokubuu kwa viongozi wa CCM,
Ukiwa mkweli na mwenye misimamo kutetea Jamii yako mbele ya mafedhuli yaliyo tayari kusaliti ukweli Basi ww utaitwa nuksi kama unavyodai mtoa post,
Kwetu sisi tulio na misimamo huwa hatuoni tabu kuachia nafasi na kutojihusisha na ma genge ya kinafiki kama magenge ya Samia na CCM yake,
Gwajima si bendela fuata upepo, anajua hatari itayomkumba lakn hayuko tyr kushiriki usaliti

Marehem alizungukwa na nyoka wakubwa kuliko alivyodhani, ila kupitia yeye rangi za viongozi wetu zimejulikana na si jambo la kumwamini tena jirani yako ama ndgu yako kiivo, binadamu ni nyoka mwenye kukupumbaza ili apate upenyo wa kukumaliza
Samia asijione kawini gemu, bado Ana minyoka iliyotoa ndimi kumzuru kam alivyo saliti maono ya mtangulizi wake.
Hongereni sana wenye hizo rangi maaana mtaendelea kubadilika mpaka mwisho wenu kwa kufuata upepo wa aliye juu yenu
Sisi tulioamua kufuata njia kuu tuendelee kupitia maumivu tunayoyapitia
RIP JMP baba wa misimamo isiyoyumba, tutakukumbuka sana na tutaiishi falsafa yako

wanafnz wako wa pekee aliye baki mpaka sasa akiishi falsafa yako ni Gwajima na slow slow tu
Bashiru amekaa pembeni aki record wangapi walio baki na yeye atatoa majumuisho ya game kama kweli ulipata kueleweka kwa wale ulikokuwa ukiwaamini
Hii inga linaitwa Gwajima linatupotezea nafasi nyeti kwa ajili ya maendeleo yetu.
Aliyekuambia katika siasa kuna ukweli nani?
Kwani Gwajima na wewe mtoa posti ndio unaelewa siasa leo?
Gwajima is a con-man, pure and simple.
Halafu anajiita mtu wa dini, Askofu, my foot.
Ana uongo wa kutisha, na kulingana na Biblia mtu muongo ni mfuasi wa shetani, na Gwajima vivyo.
asa unapoongea ukweli sijui unaongea ukweli gani na kwa definition ipi.

Kurudisha ubunge ni lazima na arudishe tu ili tumtemee mate usoni.
 
Back
Top Bottom