Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wanajamvi,
Mbunge wa kawe mchungaji Joseph at Gwajima leo atakuwa na mkutano mkubwa wa maombezi kwenye viwanja vya mecco kunduchi.
Mecco ni eneo lililopo kwenye mgogoro wa ardhi mkubwa .wananchi wanataka kubomolewa nyumba zao kupisha kinachoitwa mradi.
Mara kadhaa huhudi zimefanyika kumualika Gwajima kama mbunge ili aje kusikiliza kadhia hii bila mafanikio
Leo Askofu Gwajima anakuja na drama za dini katikati ya mgogoro?
Note: Amewakataza. Wana ccm kuvaa ile miguo yao.
Huyu ni tapeli haswa
Mbunge wa kawe mchungaji Joseph at Gwajima leo atakuwa na mkutano mkubwa wa maombezi kwenye viwanja vya mecco kunduchi.
Mecco ni eneo lililopo kwenye mgogoro wa ardhi mkubwa .wananchi wanataka kubomolewa nyumba zao kupisha kinachoitwa mradi.
Mara kadhaa huhudi zimefanyika kumualika Gwajima kama mbunge ili aje kusikiliza kadhia hii bila mafanikio
Leo Askofu Gwajima anakuja na drama za dini katikati ya mgogoro?
Note: Amewakataza. Wana ccm kuvaa ile miguo yao.
Huyu ni tapeli haswa