#COVID19 Askofu Gwajima kuwasha moto juu ya Chanjo ya Corona - Agosti 1, 2021

Hata Papa fransis nae ni kiongozi wa kiroho na analosema linatoka kwa Mungu pia
 
Alishindwa kumfufua Mwendazake huyu tapeli.
 
Nawaona wasiojulikana wakihangaika kutafuta mbinu kumminya
 
Kesho pale kijiweni kwake ataichambua vizuri amfifiro inavyofanya kazi kwenye corona virus....
 
Shida ni kwamba hata wakimfukuza uanachama bado ataendelea kuwa mbunge kama Mdee na wenzake
HAKUNA shida....

Atabaki kuwa mbunge kama hao kwa kipindi KILICHOBAKIA.....

HASHTAG CCM fukuza Gwajima

#CCMImfukuzeGwajima
 
Natamani kusikia yule atakaye mshushia kitu kizito,Kama alivyoahidi.
 
Kesho pale kijiweni kwake ataichambua vizuri amfifiro inavyofanya kazi kwenye corona virus....
Futa πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Police Ccm Sijui Intelligence Yao Ikoje Kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…