#COVID19 Askofu Gwajima kuwasha moto juu ya Chanjo ya Corona - Agosti 1, 2021

huyu jamaa huwa akiamua haya kamuulizeni Ex RC wa mkoa fulani alivyofutwa kwenye ulimwengu wa siasa.
Kipindi kile hajaingiwa na tamaa, kipindi hicho alikuwa hata urais hautaki. Lakini sasa ameenda kuiba ubunge kawe na hajatubu. Kabla ya hapo kuna ile clip ambayo nayo hakuikiri,, ana makando mengi sasa.


Isitoshe ataendeleza mambo yake ya kuhisi bila kutoa fact hata moja.

(Unijibu baada ya hiyo ibada yake)

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Makusanyo ya sadaka yanaenda kuongezeka
 
Naona kundi la SG limeamua kumuacha wa KUDEMKA adhalilishwe na Gwajiboy. Na Gwajiboy hiki kimya kufuatia dharau zake hadharani kausoma mchezo na si ajabu ndani ya SG wamempa go ahead ya kufanya mashambulizi makali.

Ni wapi Gwajima kamdharirisha Mtu. Kusimamia msimamo wako na kukosoana ni kudhalilisha Mtu?
 
Mimi pia siiamini hii chanjo hasa kwa kutoelewa misimamo ya serikali.

Lakini hoja za huyu mwamba sijui 666 na kuja kua mazombi 😂😂, hizi nazo zina utata anakua kama anaongea na watoto bna. Inawezekana kweli chanjo si salama basi atafute taarifa za kueleweka sio za kuunga unga za 666 ambazo kila janga likija hizo imani inahusishwa nalo.
Hao mazombi alishwahi kuwaona wapi hapa duniani au nae analeta story za sinema.
 
Mimi nimeshawahi hapa Ubungo. Leo Askofu Rashid anaismamisha nchi.
 
jaribu kugusa ile madhabahu kama hujarudi na bukuta mkononi😂😂😂😂😂😂
 
Sasa hili ni kanisa au ni kijiwe cha mipasho?
 
Huyu bwana pamoja na mambo mengine arekebishe sehemu ya kuabudia
 
 
Huyu jamaa should be hanged, yeye na Polepole wanafanganya wananchi. Expelled from CCM and be hanged kwa Mkapa. These two are morons!!
 
Kijani ndo watajua hawajui kila mtu kumpa fursa bila kupima ubongo wake ,Sasa gwaji boy acha akinukishe mpaka waseme pooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…