Askofu Gwajima: Nipo thabiti, sikuwa Mbunge ili niuze sura au kudunduliza

Askofu Gwajima: Nipo thabiti, sikuwa Mbunge ili niuze sura au kudunduliza

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
Je la DP World yeye hajaliona hilo ina maana watagawana vipande hilo eneo au manage ndio hapo meli zinaingilia!.
 
Saa ina soma saa 6 kasoro 5. Jamaa anamka saa movu
 
Huyu naona kwenye suala la Dp kaamua afuate ile kanuni ya Kibiblia ya Mhubiri 3:7
 
Aanze kwa kufanya ufuatiliaji na kuunga mkono juhudi za serikali katika kutatua mgogoro wa ardhi wa Mbopo kwanza.

Haki itendeke.

Ajione kuwiwa kwa kuwajibika kwa haki na kwa wakati badala ya kutetea Wavamizi wa maeneo ya watu.
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
Tapeli wahedi!
Treni iko wapi?
Na safsri ya Birngham kampeleka nani?
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
Huyu naye, anabwabwaja tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Gwaji boy ni kigeu geu, alishasema hawez hata kugombea Urais kwa kuwa uchungaj ni cheo kikubwa(cheo cha Mungu) lakin akaishia kwenye ubunge. Hata uthabiti wake unaouelezea utakuwa na walakin. Mchumia tumbo tu.
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
Huyu nae atulie ale pesa za ubunge, watu wamesubir pelekwa USA mpaka leo kimya!! Awe mpole tu maan kiiman ndo ivo tena Mzee wa wese kashashika hatamu pale kawe!!
 
Sawa, ila hii ni aibu kubwa sana

2D499313-481A-468C-82D9-D71011A8A5B1.jpeg
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima "Mimi niko thabiti kwenye mambo ya Ubunge wangu, sikuwa Mbunge ili niuze sura na sikuwa Mbunge ili ‘nidundulize’, lengo langu ni kusaidia watu, nikishindwa basi bora niache.

"Jimbo la Kawe tuna bahari na takribani Kata 4 zipo baharini, maana yaka ya Msasani, Kawe, Kunduchi na Bunju iko baharini.

"Mawazo yangu ni tunaweza kucheza michezo ya baharini basi itumike kuingiza kipato, iwe ajira na afya kwa watu.

"Nimeishi Japan, nimetembea kila sehemu Japan ni visiwa wanatumia maji vizuri kwa michezo, ajira, afya na wanajenga uchumi.

"Natafuta sana kumkaribisha Waziri wa Uvuvi ili tupange namna ya kupanga revolution ya kuitumia bahari kwa michezo."

Chanzo: Mahojiano na Jahazi ya Clouds FM
Mwaka wa tatu wa ubunge bado anatafuta tu!
 
Bandari za Tanganyika kuuzwa na CCM huko Uarabuni si jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom