johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Gwajima kwanza usife moyo kwa wewe kusimamishwa kuingia bungeni, binafsi naamini Mungu wa mbinguni anataka kukutumia kwa kazi kubwa zaidi.
Ni wazi dunia haijapata jawabu ndio maana kuingia Mecca kwa hija kuna chanjo maalumu zinazokubalika siyo zote.
Sasa kuna taarifa mpya kuwa sumu ya nyoka mkali aina ya Jararacussi imegundulika kuwa na uwezo wa kupambana na virusi vya covid 19.
Katika hili unasemaje askofu Gwajima hasa tukikumbuka yaliyotokea bustani ya Eden na pia taswira ya nembo ya WHO na Hospitali ya Muhimbili zenye michoro ya nyoka
Sauli aliwatesa wakristo lakini Injili ilimbadilisha na akaitwa Paulo.
Watakuelewa huko mbele ya safari.
Ni wazi dunia haijapata jawabu ndio maana kuingia Mecca kwa hija kuna chanjo maalumu zinazokubalika siyo zote.
Sasa kuna taarifa mpya kuwa sumu ya nyoka mkali aina ya Jararacussi imegundulika kuwa na uwezo wa kupambana na virusi vya covid 19.
Katika hili unasemaje askofu Gwajima hasa tukikumbuka yaliyotokea bustani ya Eden na pia taswira ya nembo ya WHO na Hospitali ya Muhimbili zenye michoro ya nyoka
Sauli aliwatesa wakristo lakini Injili ilimbadilisha na akaitwa Paulo.
Watakuelewa huko mbele ya safari.