GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wamekusikia Mkuu na nawasubiri kweli hawa Wamumini wa Makanisa ya sasa ambao Wanadanganywa ila hawasikii tu.Na wakati huohuo wewe msubilia utajili unaendelea kukamuliwa vialfu moja vyako huku ukitapeliwa na ushaidi wa uongo
Kuna mchungaji mmoja sijui atakoea nchi gani alikuwa anasema Africa ndio sehemu ambapo watu wana imani thabiti na kuomba sana lakini pia ndio sehemu inaongoza kwa umasikini
Mbengo zitafongokaUKWELI MCHUNGU
MBENGO ZETAFUNGUIKA HALELUYA!
hatare sanaMbengo zitafongoka