Askofu Lema anasimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi ya Victoria mashariki Mwanza. Picha za Waziri mkuu Mh Majaliwa zatawala kila kona

Askofu Lema anasimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi ya Victoria mashariki Mwanza. Picha za Waziri mkuu Mh Majaliwa zatawala kila kona

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Askofu mteule wa Dayosisi ya Victoria mashariki Dr Oscar Lema anasimikwa rasmi Leo

Ibada inaongozwa na Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa

Bango Kuu limewekwa picha kubwa ya Mgeni rasmi Mh Waziri Mkuu Majaliwa Kassim na askofu Lema

Ibada iko mubashara Upendo TV 🌹
Screenshot 2025-01-19 085933.png
 
Askofu mteule wa Dayosisi ya Victoria mashariki Dr Oscar Lema anasimikwa rasmi Leo

Ibada inaongozwa na Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa

Bango Kuu limewekwa picha kubwa ya Mgeni rasmi Mh Waziri Mkuu Majaliwa Kassim na askofu Lema

Ibada iko mubashara Upendo TV 🌹View attachment 3205957
Nilifikiri lema wa chadema baada ya kutishiwa kufukuzwa na tawi lake akaamua kuanzisha kanisa lake
 
Back
Top Bottom