johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
DoraHuyu hakuwa chaguo wana kkkt lazima aseme hivyo kawekwa na dora
Hana jipya huyu nae, ndio maana nina miaka miwili na zaidi nasali nyumbani tu au online, nasikitika sana sana ameniharibia sana kuhusu maisha yangu ya KKKTMkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV
Na mimi ni mmoja wao wa waliokula hasara, watamfanya zumbemkuu akimbie kanisa tena kama alivyowahi kufanyaHapo ndugu zetu waluteli wamekula hasara. Sasa serikali ndiyo italiongoza kanisa la KKKT.
Yeah anataka kujipendekeza kwa CCM, mwambieni aandae Mkutano mwingine wa Injili halafu amuite tena Makonda ahubiri kama alivyofanya last time ule mkutano wa KaweHuyu hakuwa chaguo wana kkkt lazima aseme hivyo kawekwa na dora
Imeandikwa "Tiini mamlaka......."Kweli Lutheran ya Tanzania ni sehemu ya serikali, sikuwahi kulijua hili.
Mimi nimeamua kuabudu mizimu kabisa kwa upuuzi wa KKKT kuongozwa na kada wa CCM na afisa kipenyoHana jipya huyu nae, ndio maana nina miaka miwili na zaidi nasali nyumbani tu au online, nasikitika sana sana ameniharibia sana kuhusu maisha yangu ya KKKT
Amejificha wee leo kaamua kujilipuaHatimaye zile tuhuma kwamba huyu ni Mamluki ndani ya kanisa leo amezithibitisha mwenyewe
View attachment 2878509
Ni aibu sana kwa KKKTAmejificha wee leo kaamua kujilipua
Kwanini?Ni aibu sana kwa KKKT
Mkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV