Pre GE2025 Askofu Malasusa: Sijalelewa kuwa Kinyume na Serikali, Sijalelewa kutoitii Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
YUDA ISKARIOTE soon atajinyonga ...!!!!!
 
Miaka ya mwanzo ya tisini (1992/93) alikuja UDSM - CCT Chaplaincy kufanya field kama mchungaji mwanafunzi/ mwanafunzi wa uchungaji.

Akaanza kuchukua mademu zetu (watoto wa chuo), na akitutishia kuwa sisi ni watoto wa maprofesa ila yeye ni kutoka "ikulu".
Tangu hapo ndipo nikamfahamu kuwa ule uchungaji sio wito bali ni cover tu.
 
Kwa hiyo naye ni CHAWA wa mama?
 
KKKT kama BAKWATA sasa
 

Lazima muitii mamlaka za kiserikali.
 
Hivi huyo Malasusa anaweza kutawala kwa muda gani?
 
Mwingine kwenye kundi hilo ni Askofu Gamanywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…