Askofu Mkuu wa KKKT, waumini wako wanahitaji kufafanuliwa zaidi

Askofu Mkuu wa KKKT, waumini wako wanahitaji kufafanuliwa zaidi

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kwa wenye uelewa tulikuelwa vizuri kwamba kanisa linaunga mkono uwekezaji, lakini huku nyuma umesahau kwamba kuna akina kitenge na mwijaku wanaopindisha manaeno, sasa unalishwa maneno kwamba kanisa linaunga mkono mkataba wa bandari jambo amabalo siyo kweli.

Ulisema kuna mapendekezo mlimpa raisi ayafanyie kazi, kwa ukubwa wa taasisi yako, waweke wazi waumini wako ni mambo gani hayo amabayo kama KKKT inapendekeza yafanyiwe kazi kwa masLahi ya taifa letu, saivi waumi hawelewi mnaunga Mkono mkataba wa bandari au mnakataa Maana wapotoshaji ni wengi sana. Kuna gazeti la Raia Mwema nimeona limeandika kwamba uliuma na kupuliza manake watu umetuacha kwenye mataa

NI hayo tu.
 
Kuuma na kupuliza ni pale aliposema wakiwakemea watawala wasieleweke vibaya na kupuliza ni pale aliposema wanaunga mkono uwekezaji. Kwenye kuunga mkono uwekezaji hapo ni jumla ya uwekezaji wote ila si kuunga mkono mkataba wa bandari na DP World. Kkkt wamekwepa sentensi hiyo kijanja na kuwaacha wengi njia panda
 
Kwa wenye uelewa tulikuelwa vizuri kwamba kanisa linaunga mkono uwekezaji, lakini huku nyuma umesahau kwamba kuna akina kitenge na mwijaku wanaopindisha manaeno, sasa unalishwa maneno kwamba kanisa linaunga mkono mkataba wa bandari jambo amabalo siyo kweli.

Ulisema kuna mapendekezo mlimpa raisi ayafanyie kazi, kwa ukubwa wa taasisi yako, waweke wazi waumini wako ni mambo gani hayo amabayo kama KKKT inapendekeza yafanyiwe kazi kwa masLahi ya taifa letu, saivi waumi hawelewi mnaunga Mkono mkataba wa bandari au mnakataa Maana wapotoshaji ni wengi sana. Kuna gazeti la Raia Mwema nimeona limeandika kwamba uliuma na kupuliza manake watu umetuacha kwenye mataa

NI hayo tu.
IMG-20230823-WA0028.jpg
 
Hadi sasa faizafox anashangilia kwamba KKKT wanaunga mkono DP World. Dr. Shoo afafanue maana waumini wake wanapoanza kutoa usemi wa kuunga mkono TEC anapunguza credit kwa kundi analoliongoza.
 
Back
Top Bottom