Askofu Mpemba amchana Spika Ndugai na wabunge 19 waliobatizwa jina la "COVID-19"; Wamevunja Katiba, warudishe fedha

Askofu Mpemba amchana Spika Ndugai na wabunge 19 waliobatizwa jina la "COVID-19"; Wamevunja Katiba, warudishe fedha

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana.


Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda.

Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe U-Spika kabla ya 2025.

Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi?
 
Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana...
View attachment 1765034

Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda...

Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe u - Spika kabla ya 2025...
Ikitokea hivyo Mimi nafanya sherehe,kwani watu wanatafuta kwanini tunakwama kama taifa wakati wanaotukwamisha wanafahamika,kwa viburi,jeuri na ulevi wao wa madaraka,kiasi hata cha kumkufuru Mungu.
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
Acha uongo wako we kapuku, huyu askofu aliondoka Tanzania wakati wa Jakaya mwaka 2013 baada ya vurugu za kuchinja nyama baina ya waislamu na wakristo kuibuka. Kila kitu kusingizia watu waliokufa ni upuuzi.
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
Jiwe limeoza, JPM alipigiwa dua nyingi Sana na yamemkuta, alitesa wengi.
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa

Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
Dogo maelezo yako sio sahihi. Huyu "Askofu" alikimbia kipindi cha JK. Na kilichomkimbiza ni ishu ya kukomalia eti na Wakristu wapewe haki ya kuchinja kama ilivyo kwa Waislamu. Aliishadidia sana hii ishu hasa kupitia "karedio" kake hapa Jijini Mwanza. Serikali ya JK ilipochoka naye ikataka "kumshughulikia" ndio akakimbia nchi hadi leo!
 
Machadema ni mapumbavu sana

Ule upuuzi wa kumtaja rais kwa majina yake yote manne naona sasa hivi umeisha rasmi. Sasa hapa hivi kila mtu anaona tofauti baada ya kutawaliwa na dictator uchwara ndani ya miaka mitano. Lile jizi la kura liliendesha nchi hii kishetani na hofu kubwa. Tunamshukuru Mungu kwa kufanya mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana...

View attachment 1765034

Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda...

Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe u - Spika kabla ya 2025...

Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi...?
Mkuu,

Acha kubeba vitu na kuja kupachika hapa, huyo unayemwita askofu unakumbuka alianza kufanya vituko gani enzi za Jakaya Kikwete wakati huo akiwa mchungaji kanisa moja hapo Mkuyuni Mwanza njia ya kuelekea Butimba?

Unafahamu waumini wake walitaka kumfanya nini?

Unafahamu kuwa huyo alishawahi kuwa mlinzi wa kampuni moja na kuacha kazi hiyo kwa aibu?

Ukosoaji ulio imara na wenye tija ni ule unaotumia ufundi wa kung'arisha rangi ya chatu kwa mfumo wa picha jongefu wakati akihitahitaji mawindo!!

Huyo ni askofu wa mwili na nafsi sio ROHO na yeye analitambua hilo, muulize huko aliko USA, watu wanafahamu A to Z kuhusu huyo mtu aliyevaa kofia ya cowboy
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
Tatizo lilitengenezwa na forgeries za Tume ya Uchaguzi .
Waliforge mpaka wakapitiliza njia!
Mwisho wakajikuta hakuna kambi ya zupinzani bungeni.
Ikabidi sasa waforge tena.
Mwalimu alisema ukila nyama ya mtu, utaendelea kula nyama ya mtu.

For good governance CHADEMA walipeleke suala hili mahakamani.
 
Dogo maelezo yako sio sahihi. Huyu "Askofu" alikimbia kipindi cha JK. Na kilichomkimbiza ni ishu ya kukomalia eti na Wakristu wapewe haki ya kuchinja kama ilivyo kwa Waislamu. Aliishadidia sana hii ishu hasa kupitia "karedio" kake hapa Jijini Mwanza. Serikali ya JK ilipochoka naye ikataka "kumshughulikia" ndio akakimbia nchi hadi leo!
Kwa Neema FM nyasaka
 
Hivi Kwa nini Chadema hawakuifuatilia Ile Barua kutaka kujua ilikotokea??

Sawa, walimhofia Jiwe, leo hayupo, ni muda mwafaka wa kufahamu Barua Ile ilitokea wapi na Nani aliwaidhinisha wale wabunge wa Chadema kuingia bungeni
 
Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa
Huna data mkuu,huyu alikimbia kipindi cha Jk kwenye mzozo wa nani ana haki ya kuchinja mifugo machinjion.
 
Back
Top Bottom