Anaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa