Askofu Mpemba: Kwa Mbowe uenyekiti ni muhimu kuliko malengo ya CHADEMA

Askofu Mpemba: Kwa Mbowe uenyekiti ni muhimu kuliko malengo ya CHADEMA

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.

Sahihi kabisa
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.

Mbowwe angepewa nchi angekuwa dikteta kama San Abacha wa Nigeria aliyewaua kina Ken sarowiwa,angeua watu ili aendelee kusalia madarakani
 
Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaeweza kumuelewa Mbowe kwa sasa.

Watu wote wameenda kinyume na Mbowe isipokua CCM kina Kigwangalla na wenzake ambao wanamsisitiza usiachie chama, komaa chama ni cha baba mkwe wako. Kigwa anatamka wazi Mbowe usiachie chama ulichoachiwa na baba mkwe wako.

Bwana Ayatolah Kim Jong Un Mbowe amekuja na definition za ajabu za ukomo wa madaraka kwamba hadi watu wakukatae ndio ukomo wa madaraka na pia hadi ufikishe miaka 68 ndio ukomo wa madaraka.

Kesho mbowe atasemaje kuhusu ccm kung'ang'ania madarakani?
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.

Mbowe analinda uhuni wake pamoja na machawa wake. Hana nia yoyote na chadema
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.


IMG_20241225_180332.jpg
 
Lissu hawezi hata kuongoza familia ya watu 6, he is not a leader! Hana sifa hata moja ya kuwa kiongozi mkuu wa kundi lolote! He is good kwenye uanasheria, uanaharakati, na amsha amsha! But siyo kutuliza brain chini na kuongoza, ataizika CDM. Mwenye masikio na asikie, wazee wa mihemko na kukaza shingo endeleeni
 
Lissu hawezi hata kuongoza familia ya watu 6, he is not a leader! Hana sifa hata moja ya kuwa kiongozi mkuu wa kundi lolote! He is good kwenye uanasheria, uanaharakati, na amsha amsha! But siyo kutuliza brain chini na kuongoza, ataizika CDM. Mwenye masikio na asikie, wazee wa mihemko na kukaza shingo endeleeni
Familia yake anaiongoza mamako.🪛🪛🪛🪛🤣🤣
 
Lissu hawezi hata kuongoza familia ya watu 6, he is not a leader! Hana sifa hata moja ya kuwa kiongozi mkuu wa kundi lolote! He is good kwenye uanasheria, uanaharakati, na amsha amsha! But siyo kutuliza brain chini na kuongoza, ataizika CDM. Mwenye masikio na asikie, wazee wa mihemko na kukaza shingo endeleeni
Mbowe kupokea rushwa kutoka kwa Abdul na Lowassa ndio leadership?
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.

Kura ndizo zitaamua sanduku la kura kama Mbowe ana uwezo au la

Wafuasi wa Lisu acheni kelele Mwamuzi sanduku la kura.Msiwafanye wapiga kura wajinga.Lisu na wafuasi wake mnataka ushindi wa mezani sio sanduku la kura Kwa nini mna hofu na sanduku la kura? Kama mnajiamini ndio mna uwezo sio kesi achenii sanduku la kura liamue

Subirini sanduku la kura ndilo huchuja mwenye uwezo na asiyekuwa nao mwenye akili na mjinga hata kama anaishi ubelgiji

Nasema hivi Mbowe mitano tena

Lisu na wapiga filimbi wake wa Hamelini sanduku la kura ndio mwamuzi sio mitandao wala mayowe yawe ya diaspora wawe mashehe,maaskofu ,maprofesa,wasomi wa ndani na nje au akina kalumekenge popote walipo duniani.Wajue chama cha Chadema ni chama cha kidemokrasia kinachoamini mojawapo ya imani zake ni sanduku la kura ndio hupembua mbivu na mbichi
 
99% ya watu wamemkataa, tena hadharani
Kumkataa Mbiwe au kumkubali ni kwenye sanduku la kura wafuasi wa Lisu acheni cheap pollitics na propaganda za kitoto

Lisu wenu asubiri sanduku la kura na nyie acheni kelele za kitoto mitandaoni subirini majibu yenu sanduku la kura

Mbowe mitano tena
 
Huyu mpemba kumbe bado hajarudi, alikimbiaga nchi kipindi kile uchinjaji ulipoleta mtafaruku kati ya waislam na wakristo yeye alikuwa na msimamo mkali sana, alitimkia USA baada ya kuhisi serkali itampoteza namshauri arudi sasa mambo ni shwari
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=5zmBG-wfUTU

Kwa kweli Mbowe anashangaza na kusikitisha sana.

Maneno haya mazito na marahisi yametolewa na Askofu Mpemba huko ughaibuni. Unamuuliza Mbowe kama lengo la chama ni kushika dola na yeye ameshindwa kutimiza lengo, kisha akatokea mtu ambaye anaweza kuhamasisha watu kushinda wewe katika kutimiza malengo ya chama, kwa nini yeye ang'ang'anie. Kwa nini wakati hana uwezo?
Maana yake kwake yeye malengo yake binafsi ni muhimu kuliko malengo ya chama.

My Take
Mtu ambaye yupo tayari kufanya chochote kufia kwenye cheo badala ya kutimiza malengo ya chama, HUYO NI MTU MBAYA SANA.

Kwa nini na huyo mwingine anajitahidi kufanya lolote aingie kwenye Uenyekiti? Kwani Kuna nini? Hawezi kugombea Urais bila kuwa Mwenyekiti huyo kibaraka wenu?
 
Back
Top Bottom