LGE2024 Askofu Mstaafu Peter Konki: Vyama vya Upinzani vyatakiwa kuendelea Kujipanga kuongeza Ushindani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Askofu Mkuu Mstaafu wa Makanisa ya Elim Pentekoste Tanzania, Peter Konki, amehimiza wananchi kuendeleza umoja baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuvitaka vyama vya upinzani kuendelea kujipanga ili kuongeza ushindani.

Hivi kwa nini hawa Viongozi wa Dini wanaiogopa sana CCM. Au anataka Wapinzani wajipange vipi kwenye RAFU KUBWA kama hizi za MKOLONI CCM...!!?
 
askofu gani takataka, self proclaimed bishops, mavi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…