johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika mahubiri yake ya kufunga mkutano mkuu wa sinodi ya DMP ya Kanisa la KKKT, askofu mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglican baba Donald Mtetemela amesema Wakristo tunapewa ili tutoe na Hatutoi ili tupewe.
Askofu Mtetemela amesema si sawa kutoa sadaka ukitegemea kupokea ama utajiri, mali au hitaji lolote unalolitamani bali tumebarikiwa ili tutoe.
Chanzo: Upendo TV
My take: Wanasiasa jifunzeni kitu hapa msinunue vyeo!
Askofu Mtetemela amesema si sawa kutoa sadaka ukitegemea kupokea ama utajiri, mali au hitaji lolote unalolitamani bali tumebarikiwa ili tutoe.
Chanzo: Upendo TV
My take: Wanasiasa jifunzeni kitu hapa msinunue vyeo!