Askofu Mwamakula: Celestine Simba wa Bawacha hajakata Rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti Sharifa Suleiman, Ngurumo aache Uzushi!

Askofu Mwamakula: Celestine Simba wa Bawacha hajakata Rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti Sharifa Suleiman, Ngurumo aache Uzushi!

Hoja uchwara za CCM sasa kwishaaa
1. Saccos ya Mbowe
2. CHADEMA uchaga
3. Ruzuku kukiwa na Mbowe
4. CDM chama cha kikanda

Zote kwishaa, sasa hivi ni kuokoteza okoteza hoja - Babu Mzee juzi kaja na ile kwamba CDM ni vibaka.

Sasa hivi wanakuja na hoja ya BAWACHA kuna mgogoro..
 
Hoja uchwara za CCM sasa kwishaaa
1. Saccos ya Mbowe
2. CHADEMA uchaga
3. Ruzuku kukiwa na Mbowe
4. CDM chama cha kikanda

Zote kwishaa, sasa hivi ni kuokoteza okoteza hoja - Babu Mzee juzi kaja na ile kwamba CDM ni vibaka.

Sasa hivi wanakuja na hoja ya BAWACHA kuna mgogoro..
Chadema ya Sasa ni ya Kitaifa

Mwenyekiti wa Bavicha ni Mgogo
 
Askofu Mwamakula amesema aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Bawacha Celestine Simba hajakata rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti wa Bawacha Sharifa Suleiman

Askofu Mwamakula amesema Wazushi wa Uzunguni Wapuuzwe
Mwamakula wewe ni msemaji wa Chadema?
 
Back
Top Bottom