johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu na yeye bora angaliwekwa naibu katibu mkuu wa chademaAskofu Mwamakula amesema aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Bawacha Celestine Simba hajakata rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti wa Bawacha Sharifa Suleiman
Askofu Mwamakula amesema Wazushi wa Uzunguni Wapuuzwe
CCM wengi hawajaridhika kabisaAskofu Mwamakula amesema aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Bawacha Celestine Simba hajakata rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti wa Bawacha Sharifa Suleiman
Askofu Mwamakula amesema Wazushi wa Uzunguni Wapuuzwe
Atawekwa Shehe PondaAskofu na yeye bora angaliwekwa naibu katibu mkuu wa chadema
Ngurumo ni CCM?CCM wengi hawajaridhika kabisa
Imeisha hiyoNgoja tuone
Ni UWT mwenzioNgurumo ni CCM?
Ansbert Ngurumo Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima Gazeti la ChademaNi UWT mwenzio
Chadema ya Sasa ni ya KitaifaHoja uchwara za CCM sasa kwishaaa
1. Saccos ya Mbowe
2. CHADEMA uchaga
3. Ruzuku kukiwa na Mbowe
4. CDM chama cha kikanda
Zote kwishaa, sasa hivi ni kuokoteza okoteza hoja - Babu Mzee juzi kaja na ile kwamba CDM ni vibaka.
Sasa hivi wanakuja na hoja ya BAWACHA kuna mgogoro..
Mwamakula wewe ni msemaji wa Chadema?Askofu Mwamakula amesema aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Bawacha Celestine Simba hajakata rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti wa Bawacha Sharifa Suleiman
Askofu Mwamakula amesema Wazushi wa Uzunguni Wapuuzwe
Alishatoka kitambo sn, Tanzania Daima siyo gazeti la CHADEMA ni la mtoto wa MboweAnsbert Ngurumo Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima Gazeti la Chadema
Kwakweli ingelipendeza sana na kisha akaongezewa cheo Cha Msemaji wa Chama!Askofu na yeye bora angaliwekwa naibu katibu mkuu wa chadema
Aliombwa na Ngurumo aingilie KatiMwamakula wewe ni msemaji wa Chadema?
Sehemu zingine Celestine ni wanaume je hili jina ni universal?Celestine Simba
Cheo Cha Alhad Salum CCMMwamakula ana cheo gani chamani?
Shabiki kama tulivyo kwa SnY au Msiba huku Green ZoneMwamakula ana cheo gani chamani?
Ni Sawa tu na HaleluyaSehemu zingine Celestine ni wanaume je hili jina ni universal?