Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Askofu Mwamakula ameandika katika Ukurasa wa Twitter kwamba, kuondoa utaratibu wa usajili wa kudumu kwa Taasisi za Kidini ili ziombe upya kila baada ya miaka mitano ni kuzichimbia kaburi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanye TuAskofu Mwamakula ameandika katika Ukurasa wa Twitter kwamba, kuondoa utaratibu wa usajili wa kudumu kwa Taasisi za Kidini ili ziombe upya kila baada ya miaka mitano ni kuzichimbia kaburi
View attachment 1889402
Hii yote ni gwajima anatafutwaAskofu Mwamakula ameandika katika Ukurasa wa Twitter kwamba, kuondoa utaratibu wa usajili wa kudumu kwa Taasisi za Kidini ili ziombe upya kila baada ya miaka mitano ni kuzichimbia kaburi
View attachment 1889402
Wanamtafuta kwa kila mbinuAskofu wangu huyo.
SureUnder dictatorship, everyone is a potential victim.
Hii yote ni gwajima anatafutwa
Usimpangie,huyo ana mke wake.Jiheshimu kudandia waume za watu!!Askofu tapeli kashikwa pabaya, badala ya kuhubiri injili unahubiri siasa
Upo sahihi kabisaCCM itaondolewa na Maaskofu kama Mwamakula siyo wakina Lisu
Unaamini kanisa katoliki hata likiwaudhi vipi wanaweza kulifutia usajili?! Hiki ni kitisho kwa vijikanisa kama hicho cha mwamakula.Under dictatorship, everyone is a potential victim- The solution is to join forces before it is too late.
Po tuAskofu Mwamakula ameandika katika Ukurasa wa Twitter kwamba, kuondoa utaratibu wa usajili wa kudumu kwa Taasisi za Kidini ili ziombe upya kila baada ya miaka mitano ni kuzichimbia kaburi
All they can do is to pick some individuals within the church, and deal with them accordingly.Unaamini kanisa katoliki hata likiwaudhi vipi wanaweza kulifutia usajili?! Hiki ni kitisho kwa vijikanisa kama hicho cha mwamakula.
But that is not mwamakula's concern. His concern is about renewing registration after every five years.All they can do is to pick some individuals within the church, and deal with them accordingly.
Wameamua kufanya huu usajili wa hizi taasisi kuwa chanzo cha mapato serikalini 😆😆😆All they can do is to pick some individuals within the church, and deal with them accordingly.
Wameamua kufanya huu usajili wa hizi taasisi kuwa chanzo cha mapato serikalini 😆😆😆