Askofu Mwamakula: Nina wasiwasi kuhusu uwepo wa Askari Mstaafu katika tukio la Utekaji la Tashriff Luxury Coach

Askofu Mwamakula: Nina wasiwasi kuhusu uwepo wa Askari Mstaafu katika tukio la Utekaji la Tashriff Luxury Coach

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Askofu Emmaus Mwamakula ameonyesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu tukio la utekaji lililotokea ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach, ambapo Ali Mohamed Kibao alitekwa kwa nguvu. Katika taarifa yake ya hivi karibuni, Askofu Mwamakula amekosoa hatua zilizochukuliwa na askari mstaafu wa jeshi la Polisi ambaye alikuwa ndani ya basi hilo wakati tukio lilipotokea.

Askofu Emmaus Mwamakula ameandika:
Screenshot 2024-09-12 170257.png
Nina wasiwasi na maswali mengi juu ya taarifa za uwepo wa mtu aliyeelezwa kuwa ni Traffic Police mstaafu ndani ya Tashriff Luxury Coach wakati Ali Mohamed Kibao anatekwa. Je, ni kwa nini hakushauri basi liende Kituo cha Polisi cha jirani? Askari mstaafu hawezi kuacha kuokoa uhai!
Image
 
Askofu Emmaus Mwamakula ameonyesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu tukio la utekaji lililotokea ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach, ambapo Ali Mohamed Kibao alitekwa kwa nguvu. Katika taarifa yake ya hivi karibuni, Askofu Mwamakula amekosoa hatua zilizochukuliwa na askari mstaafu wa jeshi la Polisi ambaye alikuwa ndani ya basi hilo wakati tukio lilipotokea.

Askofu Emmaus Mwamakula ameandika:
Nina wasiwasi na maswali mengi juu ya taarifa za uwepo wa mtu aliyeelezwa kuwa ni Traffic Police mstaafu ndani ya Tashriff Luxury Coach wakati Ali Mohamed Kibao anatekwa. Je, ni kwa nini hakushauri basi liende Kituo cha Polisi cha jirani? Askari mstaafu hawezi kuacha kuokoa uhai!
Image
Haiitaji hata D 2 hiyo kung'amua..
Basi tu wabongo mnapenda kuandikaandikaa..
 
Mbona wenye basi wamesema kulikuwa na mtekaji ndani ya basi na baada ya tukio aliondoka na wenzake ila sijajua kama huyo mtu ndiye askari mstaafu au ni mtu mwingine
 
Mbona wenye basi wamesema kulikuwa na mtekaji ndani ya basi na baada ya tukio aliondoka na wenzake ila sijajua kama huyo mtu ndiye askari mstaafu au ni mtu mwingine
nikweli Kuna mtu ambaye wanadai hakutia taarifa zake wala kitambulisho chake na wakamwacha aende piaa
 
Mimi nina qasiqasi na TEC inahusika.

Maana yake makofi waliyozabwa na mama Samia pale Dodoma wakati wa kusaini mkataba wa DP World si ya kitoto.
 
Back
Top Bottom