johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Mwamakula anesema ni aibu kwetu sote kama taifa iwapo Vijana wetu wamefikia hatua ya kushindwa Kujibu na kujenga Hoja na badala yake wanaishia kutoa lugha za mkato " Hafai, Hana Sifa, Aondoke '
======================
'Hana sifa', 'Hafai', 'Aondoke'! Hizo ndio kauli za makundi ya kampeni ndani ya CHADEMA. Hawajadili hoja na sera za wagombea! Ni aibu kwetu sote kwani taifa limekosa vijana wenye uwezo wa kujenga na kupangua hoja. Wamejipachika katika timu za wagombea badala ya kuhoji sera zao!
Ukurasani X
My take: Bavicha wanamtukana tu Lisu badala ya Kujibu Hoja zake 😄
======================
'Hana sifa', 'Hafai', 'Aondoke'! Hizo ndio kauli za makundi ya kampeni ndani ya CHADEMA. Hawajadili hoja na sera za wagombea! Ni aibu kwetu sote kwani taifa limekosa vijana wenye uwezo wa kujenga na kupangua hoja. Wamejipachika katika timu za wagombea badala ya kuhoji sera zao!
Ukurasani X
My take: Bavicha wanamtukana tu Lisu badala ya Kujibu Hoja zake 😄