Askofu Mwamakula: Waliomteka Method Damian wamuachie

Askofu Mwamakula: Waliomteka Method Damian wamuachie

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ametoa wito kwa wale wanaomshikilia baada ya kumteka kijana Method Damian Kumdyanko na kuacha kuitisha familia na jamaa zake wa karibu.

Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanywa na Baraza la Wanawake CHADEMA leo jijini Dar Es Salaam Askofu Mwamakula ametoa wito kwa baraza hilo pamoja na CHADEMA kuendelea kuwa sauti ya kupigania mabadiliko katika taifa kwani itasaidia kupaza sauti za wale wasioweza kuongea au wasio na pa kusemea.

Soma pia: Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

“Kama nyinyi CHADEMA mtajisemea ninyi hamtawasemea wanaotekwa haki yenu itatafsiriwa kama ni ubinafsi mtu yeyote anayefanyiwa visivyo anastahili kusemewa na ninyi” amesema Askofu Mwamakula

“nitumie nafasi hii kuwaambia wanaomshikilia kijana Method Damian Kumdyanko wamuachilie yule kijana siyo mwanaChadema taarifa zangu ni kwamba ameajiriwa na serikali” ameongeza Askofu Mwamakula

Method alitekwa Februari 28, nyumbani kwake Sinza Dar Es Salaam majira ya saa mbili usiku alipokuwa akiingia nyumbani.
 
Unakuaje double agent kwa nchi kama hizi za Dunia ya tatu!!

Kama ni kweli huyo jamaa harudi kamwe!!

Atakua amehujumu jamhuri!
Wengi wanadhani ametekwa kwa sababu za kisiasa kumbe sivyo.

Na kama ni kweli alikuwa msaliti basi anastahili kupata yaliyo mpata.
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ametoa wito kwa wale wanaomshikilia baada ya kumteka kijana Method Damian Kumdyanko na kuacha kuitisha familia na jamaa zake wa karibu.

Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanywa na Baraza la Wanawake CHADEMA leo jijini Dar Es Salaam Askofu Mwamakula ametoa wito kwa baraza hilo pamoja na CHADEMA kuendelea kuwa sauti ya kupigania mabadiliko katika taifa kwani itasaidia kupaza sauti za wale wasioweza kuongea au wasio na pa kusemea.

Soma pia: Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

“Kama nyinyi CHADEMA mtajisemea ninyi hamtawasemea wanaotekwa haki yenu itatafsiriwa kama ni ubinafsi mtu yeyote anayefanyiwa visivyo anastahili kusemewa na ninyi” amesema Askofu Mwamakula

“nitumie nafasi hii kuwaambia wanaomshikilia kijana Method Damian Kumdyanko wamuachilie yule kijana siyo mwanaChadema taarifa zangu ni kwamba ameajiriwa na serikali” ameongeza Askofu Mwamakula

Method alitekwa Februari 28, nyumbani kwake Sinza Dar Es Salaam majira ya saa mbili usiku alipokuwa akiingia nyumbani.
View attachment 3263702
Wahuni kwa wahuni hupeana mialiko!
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ametoa wito kwa wale wanaomshikilia baada ya kumteka kijana Method Damian Kumdyanko na kuacha kuitisha familia na jamaa zake wa karibu.

Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanywa na Baraza la Wanawake CHADEMA leo jijini Dar Es Salaam Askofu Mwamakula ametoa wito kwa baraza hilo pamoja na CHADEMA kuendelea kuwa sauti ya kupigania mabadiliko katika taifa kwani itasaidia kupaza sauti za wale wasioweza kuongea au wasio na pa kusemea.

Soma pia: Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

“Kama nyinyi CHADEMA mtajisemea ninyi hamtawasemea wanaotekwa haki yenu itatafsiriwa kama ni ubinafsi mtu yeyote anayefanyiwa visivyo anastahili kusemewa na ninyi” amesema Askofu Mwamakula

“nitumie nafasi hii kuwaambia wanaomshikilia kijana Method Damian Kumdyanko wamuachilie yule kijana siyo mwanaChadema taarifa zangu ni kwamba ameajiriwa na serikali” ameongeza Askofu Mwamakula

Method alitekwa Februari 28, nyumbani kwake Sinza Dar Es Salaam majira ya saa mbili usiku alipokuwa akiingia nyumbani.
View attachment 3263702
Damian ni nani?
 
Back
Top Bottom