Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 341
- 498
Ibada iliongozwa G. NyaisongaKosa ni udhaifu usio na mfano wa Mama Janet Magufuli aliyekubali mumewe azikwe na hasimu wake wa kisiasa, Askofu Mugenyizi.
Eti Askofu kadai "marehemu aliwahi kunambia utakuja kunizika." Maaskofu wenzake wakanunua stori, familia nayo imekaa tu na butwaa inapelekeshwa na maamuzi ya watu wasiojali chochote cha legacy ya marehemu.
Sasa Askofu Mugenyizi anaenda kuwa unhinged zaidi na zaidi.
Hawa mabwana walisimama mwanzo mwishoUhuru wa demokrasia ukipatikana . Askofu Mwamakula , Nehumwigiza, Bagonza na Sheikh Ponda wanastahili tunzo ya heshima.
... uko sahihi kwa upande wa ibada; ila shughuli ya pale kaburini; the very last ceremony iliongozwa na Niwemugizi.Ibada iliongozwa G. Nyaisonga
Au mimi sikuwa makini?
Ambacho hujaelewa nini ndugu? Nyaisonga alisoma Misa kama misa lakini sehemu ya pili kwwenye ibada ya Mazishi na kuzika alifanya Niwemugizi , na kumbuka pia kulikua na Maaskofu wengine mfano yule wa Mwanza yeye alitafakari neno na kuna wengine hawakuwa na role kabisa kwenye ile siku japo walikuwepo. Kwahiyo yale maneno wewe ni mavumbi na mavumbini tunakurudisha lakini Bwana atakufufua siku ya mwisho ndio yalisemwa na Niwemugizi.Ibada iliongozwa G. Nyaisonga
Au mimi sikuwa makini?
Qadiriya Twarika tuliwakilishwa vyema na Sheikh PondaLile li sheikh la Dar lilamba matamkopupu ya jiwe
InshallahQadiriya Twarika tuliwakilishwa vyema na Sheikh Ponda
Jifariji kwa maneno ya kinafikiKwa hiyo na wewe ni askofu?
Labda utakua askofu wa mashoga, kwa tabia zako za humu na yale matusi kisha ukawa askofu? Acha utani basi.
Na kama utakua askof basibuatakua ni
1 mwamakula
2 mpemba
3 bagonza
4
Pole sana kwa maumizvu yenu na faraja zenu kwa sasa, ila utawala ni ule ule
Hata kinyesi hustiriwa vizuri, akuna shida yoyote Askofu Niwemugizi, kumstiri mjaa laana yule ili Tanganyika ipumue..Kosa ni udhaifu usio na mfano wa Mama Janet Magufuli aliyekubali mumewe azikwe na hasimu wake wa kisiasa, Askofu Mugenyizi.
Eti Askofu kadai "marehemu aliwahi kunambia utakuja kunizika." Maaskofu wenzake wakanunua stori, familia nayo imekaa tu na butwaa inapelekeshwa na maamuzi ya watu wasiojali chochote cha legacy ya marehemu.
Sasa Askofu Mugenyizi anaenda kuwa unhinged zaidi na zaidi.
Hakika mkuu Sky Eclat .Uhuru wa demokrasia ukipatikana . Askofu Mwamakula , Nehumwigiza, Bagonza na Sheikh Ponda wanastahili tunzo ya heshima.