Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli unauma sana. Eti siasa mpaka uchaguzi. Kweli ccm imekufa.Hakika huyu mzee wetu ndiye mtumishi wa kweli wa Mungu.
Amewashauri watawala kufuata misingi ya katiba na siyo kutawala kwa mazoea.View attachment 2090181
Viongozi wa Dini kama Nabii Daudi. A ni A na B ni B not otherwise.Hawa ndio viongozi DINI ambao HAWAJAPOTOKA,viongozi wa DINI wengine ni lazima wakumbushwe kwamba jukumu ni kuwatetea watu MASKINI wasio na sauti na sio kukaa tu kuwahimiza watu kutoa sadaka na kupiga kelele za Amani wakati watu wengi sasa WANAJUA kuwa sisi Tanzania tuna utulivu tu ila Amani haipo kabisa.
Utakuta CCM ndiyo inawaandamaHawa ndio viongozi DINI ambao HAWAJAPOTOKA,viongozi wa DINI wengine ni lazima wakumbushwe kwamba jukumu ni kuwatetea watu MASKINI wasio na sauti na sio kukaa tu kuwahimiza watu kutoa sadaka na kupiga kelele za Amani wakati watu wengi sasa WANAJUA kuwa sisi Tanzania tuna utulivu tu ila Amani haipo kabisa.
CCM ni Chama maiti.Ukweli unauma sana. Eti siasa mpaka uchaguzi. Kweli ccm imekufa.
Mtanyooka tuUkweli unauma sana. Eti siasa mpaka uchaguzi. Kweli ccm imekufa.
wenzako akili zimerudi bado wewe. Ndugai , polepole, bashiru, bashite nani kanyooka zaidi ya hawa?Mtanyooka tu
Bashiru, Ndugai na Polepole kila siku account zao zindacheka. Ila wewe unaepiga miayo muda wote unaona wamenyooka!wenzako akili zimerudi bado wewe. Ndugai , polepole, bashiru, bashite nani kanyooka zaidi ya hawa?