kingito
Member
- Sep 10, 2024
- 10
- 3
Salaam wanaforum wenzangu
Wiki chache zilizopita tulishuhudia askofu Shoo akimnadi Rais Samia kuwa aongezewe miaka mitano tena huku akisema huyu mama amefanya mambo makubwa sana katika kipind hiki alichokaa madarakani
Soma pia:
Alithubutu kusema kuwa Rais Samia ameletwa na Mungu katika kipindi hii. Jambo hili zilizua gumzo sana mtandoni
Leo katika jukwaa la viongozi wa dini Askofu shoo amenukuliwa akisema kuwa mambo ya kisiasa yanayoendelea nchini ni kama vile yamataka kujirudia yale ya mwaka 2019/2029
Soma Pia:
Binafsi ni kama huyu Askofu anag'ata na kupuliza. Ukimfuatilia kwa makini huelewi ana msimamo gan katika siasa za tanzania.
Binafsi namshauri akae kimya tuu hajui anataka nini!
Anatuchanganya sana.
Wiki chache zilizopita tulishuhudia askofu Shoo akimnadi Rais Samia kuwa aongezewe miaka mitano tena huku akisema huyu mama amefanya mambo makubwa sana katika kipind hiki alichokaa madarakani
Soma pia:
Alithubutu kusema kuwa Rais Samia ameletwa na Mungu katika kipindi hii. Jambo hili zilizua gumzo sana mtandoni
Leo katika jukwaa la viongozi wa dini Askofu shoo amenukuliwa akisema kuwa mambo ya kisiasa yanayoendelea nchini ni kama vile yamataka kujirudia yale ya mwaka 2019/2029
Soma Pia:
- Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha
- Askofu Fredrick Shoo alia na rafu zinazoendelea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ataja mbinu zinazotumika kuengua Wagombea!
Binafsi ni kama huyu Askofu anag'ata na kupuliza. Ukimfuatilia kwa makini huelewi ana msimamo gan katika siasa za tanzania.
Binafsi namshauri akae kimya tuu hajui anataka nini!
Anatuchanganya sana.