Aslaam akeykum, bwana yesu asifiwe, tumsifu yesu kristu,whats'up.

Aslaam akeykum, bwana yesu asifiwe, tumsifu yesu kristu,whats'up.

shedyboi

Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
93
Reaction score
5
Nikaribisheni wakuu nilikuwa mpitaji tu, nikawa navutiwa day after day. Kuna thread zenye kuhuzunisha na kuliza but,,, kuna zingine ni taaaamu inafika mahala ukisoma bila kukoment chochote unaumia kbsaa, peke angu siwezi but i belive together we can.Nakupenda, usiponipenda mi ntakupenda tu, tumeumbwa tupendane tusipopendana ni nani hasa atakaetupenda? W'KEND NJEMA
 
Jisikie upo chumbani kwako,karibu sana baby.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha unamwonea baby mama ni kapuya generation ha ha ha
 
Karibu sana JF....
Mbona wafungua uzi wa pili kuomba ukaribisho??

Nikaribisheni wakuu nilikuwa mpitaji tu, nikawa navutiwa day after day. Kuna thread zenye kuhuzunisha na kuliza but,,, kuna zingine ni taaaamu inafika mahala ukisoma bila kukoment chochote unaumia kbsaa, peke angu siwezi but i belive together we can.Nakupenda, usiponipenda mi ntakupenda tu, tumeumbwa tupendane tusipopendana ni nani hasa atakaetupenda? W'KEND NJEMA
 
Nikaribisheni wakuu nilikuwa mpitaji tu, nikawa navutiwa day after day. Kuna thread zenye kuhuzunisha na kuliza but,,, kuna zingine ni taaaamu inafika mahala ukisoma bila kukoment chochote unaumia kbsaa, peke angu siwezi but i belive together we can.Nakupenda, usiponipenda mi ntakupenda tu, tumeumbwa tupendane tusipopendana ni nani hasa atakaetupenda? W'KEND NJEMA

Ahsante baby mama kwa kunipenda..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom