Aslaam aleykum, bwana yesu asifiwe, tumsifu yesu kristu, whats'up,hello guys.

Aslaam aleykum, bwana yesu asifiwe, tumsifu yesu kristu, whats'up,hello guys.

shedyboi

Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
93
Reaction score
5
Nipokeeni ndugu zangu kwa mikono yenu yoote miwili. Nimekuwa nikipitia thread zenu wakuu pasipo kuchangia daaah,nimeona nakuwa napitwa maana kuna thread nyingine ni tamu kweli kweli, nyingine zina uchungu hadi nalia siku zingine but,,, hii ndio nchi yetu Tanzania yenye nyingi ahadi tuamue kuuvaa uzalendo tutafanyaje sasa???.

Nawaombeni amani na upendo vitutawale maana Tanzania ndo nchi yetu fikiria sana pale amani itakapokuwa inatoweka kabisa tutaenda wapi mimi na wewe? Ukipata jibu tuvumiliane. nakupenda usiponipenda mimi ntakupenda hivohivo kwasababu binadamu tumeumbwa tupendane, tusipopendana wenyewe tutapendwa na nani??

USHANIFAHAMU UZURI; W'KEND NJEMA MIA.
 
karibu sana,wanawake ni jeshi kubwa naamini mchango wako utakua chachu ya maendeleo ya taifa hili.
 
karibu sana,wanawake ni jeshi kubwa naamini mchango wako utakua chachu ya maendeleo ya taifa hili.

kisa kajiita baby mama ndo kumuita mwanamke!lahaula yakhe!
 
kisa kajiita baby mama ndo kumuita mwanamke!lahaula yakhe!

kumbe mtu humjui utamjudge kwa kipi kama sio id yake,anyway angekua na nia kujulikana kama me angetumia jina la me hadi atakaposema vinginevyo.
 
Dik whats'up, siulisoma kiswahili shule? kuna vitu vingine ni vivumishi,na kuna vingine ni vielezi usmjaji sana Asnam coze i bilive through my id and the name kajua/kahisi ntakuwa hivo;
kisa kajiita baby mama ndo kumuita mwanamke!lahaula yakhe!
 
Karibu sana JF...

Hebu jibu kwanza, wewe ni ME au KE???
 
Back
Top Bottom