elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Siyo kwamba anaombewa mabaya maana aslay anapendwa na watu wengi ila lengo ni kumfanya awe bora zaidi maana consumers ndiyo wanaojua utamu wa bidhaaManeno haya ni kama tu ambayo mlikuwa mkimwambia Diamond.
Ila ndo hvyo mnazidi timuliwa vumbi tu.
SijausikiaWimbo wa kolo ndo kanikera kabisa na katukera karibia wanawake wote
Wimbo wa kolo ndo kanikera kabisa na katukera karibia wanawake wote
mke wangu anaupenda kinoma yaaniWanawake wote wachafu wamekerwa.. demu wangu msafi anaupenda balaa na hapa anausikilizwa kwa sauti ya juu kumnanga jirani yetu mchafu
Huyo demu wako hajielewi huu wimbo kadhalilisha wanawake na hao wanawake ni miongoni mwa wazazi wenu em acheni utoto kuhusu demu wako kumuimbia jirani hiyo hainihusu HV kuna watu wananuka makwapa kama wanaume?? Mnakeraga sema hamjui tu. Anaeshabikia huu wimbo hajielewi au labda hana mama, Dada , mashangazi n.kWanawake wote wachafu wamekerwa.. demu wangu msafi anaupenda balaa na hapa anausikilizwa kwa sauti ya juu kumnanga jirani yetu mchafu
Punguza jazba kidogo au na wewe ni .....Huyo demu wako hajielewi huu wimbo kadhalilisha wanawake na hao wanawake ni miongoni mwa wazazi wenu em acheni utoto kuhusu demu wako kumuimbia jirani hiyo hainihusu HV kuna watu wananuka makwapa kama wanaume?? Mnakeraga sema hamjui tu. Anaeshabikia huu wimbo hajielewi au labda hana mama, Dada , mashangazi n.k
We waza itakavowaz ila huo ndo ukweli nyie kadhalilishwa mwanamke mnafurahia mbona nyie mkiambiwa mnanuka makwapa na mapmb mnachukiaPunguza jazba kidogo au na wewe ni .....
SI KAWAFUNIKA SANA TEAM YOO HUKO FIESTAAAManeno haya ni kama tu ambayo mlikuwa mkimwambia Diamond.
Ila ndo hvyo mnazidi timuliwa vumbi tu.