Aslay is famous than Uhuru in Kenya, Diamond paid huge than Uhuru salary

Mkionyeshwa mapenzi na Wakenya mnalalamika, mkifanyiwa madharau mnalalamika. Mnataka nini?
sio mapenzi bro sema maji yamewafika shingoni mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe hamuna πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona hatupigani kama hatuna mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe? Mbona Kenya sio Somalia?
sio mapenzi bro sema maji yamewafika shingoni mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe hamuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku tungepeleka na wasomi wakawe Directors huko kwao ingekuwa powa sana kama wao wanavyowaleta huku.
Kuliko kusifia wacheza ngoma ambao wanashangiliwa na wapenda ngoma
 
Mbona hatupigani kama hatuna mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe? Mbona Kenya sio Somalia?
hamupigani munavochinjana kama kama wanyama sijui wapokot na turkana mara utaskia mjaluo ma mkikuyu munadhani dunia ina siri hii
 
hamupigani munavochinjana kama kama wanyama sijui wapokot na turkana mara utaskia mjaluo ma mkikuyu munadhani dunia ina siri hii
Kitu gani. Kwani nyinyi hamuuani? Ona huyu jamaa. Ni nchi gani haina mauaji? Kuwa serious saa zingine.
 
Kitu gani. Kwani nyinyi hamuuani? Ona huyu jamaa. Ni nchi gani haina mauaji? Kuwa serious saa zingine.
Their media is controlled by the gvt and so many atrocities are concealed. Hivi majuzi kuna mwalimu aliyemuua mwanafunzi. hawa ni wanafiki kupitiliza
 
Aslay has spent many years in Eastleigh,he knws kenya well
 
hamupigani munavochinjana kama kama wanyama sijui wapokot na turkana mara utaskia mjaluo ma mkikuyu munadhani dunia ina siri hii
Lini hyo hao wajaluo na wakikuyu...hhhh!!leta hzo data hpa..au ni 2007[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Lini hyo hao wajaluo na wakikuyu...hhhh!!leta hzo data hpa..au ni 2007[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kumbe taarifa unayo na wengine hawa hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


 
kumbe taarifa unayo na wengine hawa hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Nitajie siku nyengine kando na 2007 kenya kulikuwa na machafuko pande zote za nchi km hali ilivyokuwa 2007...ukipata ni tag...ama uniletee wafugaji ujifurahishe
 
Nitajie siku nyengine kando na 2007 kenya kulikuwa na machafuko pande zote za nchi km hali ilivyokuwa 2007...ukipata ni tag...ama uniletee wafugaji ujifurahishe
so pokot na turkana sio wakenya sawa????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ahahahaha yani chuki iliowajaa mioyoni mwenu ni laana mlioachiwa na kenyatta
 
Kawaida ya wafugaji hyo
ahahahaha kawaida kuuwana wanauwana kisa ardhi na chuki iliowajaa mioyoni mwao utasema sio wakenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hata kusimamia mitihani pia vitaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Nitajie siku nyengine kando na 2007 kenya kulikuwa na machafuko pande zote za nchi km hali ilivyokuwa 2007...ukipata ni tag...ama uniletee wafugaji ujifurahishe
Mr wowowo ameharibiwa na chipsi hadi kwa kichwa. πŸ˜‚akili zimenona kama wowowo πŸ˜‚hivyo kufikiri kunamtatiza kidogoπŸ˜‚
 
Mr wowowo ameharibiwa na chipsi hadi kwa kichwa. πŸ˜‚akili zimenona kama wowowo πŸ˜‚hivyo kufikiri kunamtatiza kidogoπŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
so pokot na turkana sio wakenya sawa????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ahahahaha yani chuki iliowajaa mioyoni mwenu ni laana mlioachiwa na kenyatta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…