Moto ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana umezuka na kuteketeza Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu katika fukwe za Coco Jijini Dar es Salaaam aitwaye Asley Mihogo.a
Jeshi la zimamoto na ukoaji limefanya juhudi za kuuzima moto lakini mabanda yameisha
Moto ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana umezuka na kuteketeza Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu katika fukwe za Coco Jijini Dar es Salaaam aitwaye Asley Mihogo.
Updates..
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Saad Mtambule , amefika eneo la Coco Beach kujionea hali ilivyo baada ya kuteketea kwa Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu eneo hilo Asley Mihogo alfajiri ya leo.
Kwa hizo mbao na turubai kuteketea kwa moto dakika Tano tu vinaisha.
Zimamoto hizo kwa pale hazipo mbali ,watakua wamewahi,sema ndio hizo mbao nazo zimewahi
Kwa hizo mbao na turubai kuteketea kwa moto dakika Tano tu vinaisha.
Zimamoto hizo kwa pale hazipo mbali ,watakua wamewahi,sema ndio hizo mbao nazo zimewahi
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili. Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema. Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania. Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu...