kidochi og
Member
- May 27, 2020
- 45
- 74
Ni wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii.
Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani.
Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao.
Kutokana na ubora wa nyimbo zao zinajisogeza zenyewe.
Ni wasanii nawakubali sana. Pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana.
Aslay_nibebe,kwatu, nichombeze
Mario_inatosha,Raha, chibonge
Unamkubali Nani zaidi??!!
Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani.
Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao.
Kutokana na ubora wa nyimbo zao zinajisogeza zenyewe.
Ni wasanii nawakubali sana. Pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana.
Aslay_nibebe,kwatu, nichombeze
Mario_inatosha,Raha, chibonge
Unamkubali Nani zaidi??!!