screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Nimeshindwa kujizuia nimeona nitie neno kidogo kuhusu huyu dogo baada ya kusikiliza mapini yake non-stop.
Kwanza kabisa hakuna kitu kizuri kama kufanya kitu unachokipenda na uwe unakijua, huyu dogo anajua ndio maana hatumii nguvu nyingi kuwashawishi watu waukubali muziki wake, hahitaji kutengeneza 'kiki' ili watu wasikilize muziki wake, hahitaji kuomba interview XXL ili azindue wimbo wake, media tour sioni kama huwa anafanya kabla hajaachia wimbo, yeye kazi yake ni moja tu kuweka wimbo u-tube na kwenye instagram then raia wanaufatilia, hahitaji kufanya video ya mamilioni yeye anajiamini na tuvideo twake twa laki 5 na ndo tunampatia views zaidi ya milioni.
This is the next BIG THING kwenye bongofleva!!!
Sent using Jamii Forums mobile app