Aslay vs Rayvanny vs Harmonize vs Jux

Aslay vs Rayvanny vs Harmonize vs Jux

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Tusaidiane, nani mkali zaidi hapo, tuangalie vigezo viwili tu.. sauti na mashairi..

Karibun
 
naona ukiilinganisha Mwanza na mikoa midogo midogo kama panda na kigoma oky endelea mzazi
 
Hii mada ingeletwa na jinsia "ke" ingependeza sana ....kushabikia wanaume na wewe ni mwanaume inatia kichefu chefu
 
Kigezo cha mashairi ungekitoa koz wasanii wengi wanaandikiwa lakini hawasemi.

Sauti vijana wa WCB wote wanachukua ushindi.
 
Wote hakuna kitu wanaimba nyimbo zinazofanana, maadhi na melody yani hawabadiriki.
Bora ya mwanadada Jolie, Ibra nation na yule Wozza
 
Back
Top Bottom