Hahahaha Nakumbuka mimi nilikuwa nimegeuzwa jaa LA mihemko. Yaani yale matusi niliyopokea hayana kifani.
Sasa wakenya walienda ku~sabotage hii
ya diamond?
Lol... Hili nalo LA kuibiwa chain hawakusema ni wakenya maana wanasema wakenya ni wezi. Hata mo alipotekwa kuna baadhi ya watz humu walisema kwamba watekaji ni wakenya.Halafu Diamond hiyo Bongo hanaga bahati, huko huko ndiko huwa wanamuibia pia, unakumbuka tukio la kuibiwa chain.
Lol... Hili nalo LA kuibiwa chain hawakusema ni wakenya maana wanasema wakenya ni wezi. Hata mo alipotekwa kuna baadhi ya watz humu walisema kwamba watekaji ni wakenya.
Ni kama nchi yao hakuna maovu .
Cheni kaibiwa mtaani kwenye mazingira yasiyo salama, nyinyi mmemuibia desiigner kwenye show yenye entrance pesa mobHalafu Diamond hiyo Bongo hanaga bahati, huko huko ndiko huwa wanamuibia pia, unakumbuka tukio la kuibiwa chain.
Cheni kaibiwa mtaani kwenye mazingira yasiyo salama, nyinyi mmemuibia desiigner kwenye show yenye entrance pesa mobView attachment 965698
Msanii wa Kibongo anayeitwa Asley ambaye sio maarufu sana Kenya, alikuja na kutumbuiza, kwa bahati mbaya jukwaa halikua limefungwa vizuri, likaporomoka na kumwangusha, japo alipata huduma ya kwanza na akaendelea na show full mzuka.
Watanzania walikesha humu wakilia vilio hadi nikawahurumia, walituhumu hujuma na mambo mengine mengi yaliwatoka.
Sasa huko huko Tanzania sehemu inaitwa Sumbawanga, msanii Diamond Platinum yamemtendekea baada ya jukwaa kuharibika, alidondoka mzima mzima jumla jumla, sasa sijui Watanzania watatulilia sisi au hii wataiweka vipi.
Video ya tukioa hii hapa
kadoda11
Aliingia bila kutoa heshima kwa wazee wa mji. Kwanza waliachia mvua.Sumbawanga...headquarters ya uchawi sishangai
Ongea na mods watoe kenyan section then tutatoka,na wewe peleka porojo pia tanzania sectionHivi nyie mmeona Kenya talk hauwatoshi mmeamua kuleta porojo zenu humu!
Hapa tuko Kenyan news section nini unatafuta hapa kama sio ugomvi?Hivi nyie mmeona Kenya talk hauwatoshi mmeamua kuleta porojo zenu humu!
Tafadhali jaribu konyagi iwe wikendi pekeeHivi nyie mmeona Kenya talk hauwatoshi mmeamua kuleta porojo zenu humu!