eRRy JF-Expert Member Joined Jun 12, 2009 Posts 1,126 Reaction score 206 Dec 2, 2009 #1 Source:http://www.globalpublisherstz.com/2009/11/25/aunt_ezekiel_kusomewa_albadil.html
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Dec 2, 2009 #2 noa hawa kwa kupenda sifa.....................mbona iraq walimsomea bush albadri lakini haikufua dafu?
noa hawa kwa kupenda sifa.....................mbona iraq walimsomea bush albadri lakini haikufua dafu?
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 413 Dec 2, 2009 #3 Mambo mengine bana yanakera sana. watu na starehe zao nyie mnapiga kelele sasa huyo demu kama alimegwa na watu wanne kwa usiku mmoja si yeye na hao watu wake? Kama raha au karaha si zake?? Ah!
Mambo mengine bana yanakera sana. watu na starehe zao nyie mnapiga kelele sasa huyo demu kama alimegwa na watu wanne kwa usiku mmoja si yeye na hao watu wake? Kama raha au karaha si zake?? Ah!