Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nonsense, mnashambuliwa sababu ya udhaifu wenu wa kujilinda. Walijaribu Ethiopia wakashindwa, Uganda pia walidhibitiwa.
Your intelligence agency is clueless.
The last people to talk of terrorism should be Tanzanians,you are exporting terrorists to Kenya, Somalia and Mozambique as we speak.
Ethiopia haina Uhuru wa vyombo vya habari.So kutoka kwa hio story umepata nini??? Hio story inaonyesha Ethiopia hua haishambuliwi!
Nionyeshe wapi alshabaab wamejaribu kushambulia Ethiopia na wakashindwa... karibu kila mwezi alshabaab hujaribu kushambulia Kenya na hua wanadhibitiwa kia mwezi, ukiskia shambuloa la alshabaab Kenya hua kuna majaribio 10 yalizuiliwa kabla jaribia la kumi na moja kufanyikiwa....Huko Somalia ni nadra sana usikie vita baina ya Ethiopia na alshabaab, lakini kila mwezi hautakosa kusikia KDF wamegongana na Alshabaab sehemu flani !
Are we together sorcerer?Kwendraaa kanyambe mbele [emoji23][emoji23][emoji23]
Are we together sorcerer? View attachment 1212692
Kuna msomali flani, aliniambia kuna kijiji flani mpakani mwa Somalia na Ethiopia, alshabaab walipitia hicho kijiji wakiingia Ethiopia, hicho kijiji kilikosa ku repot kwa serekali ya Ethiopia, baada ya siku kadhaa,Jeshi la Ethiopia lilifika hapo na kijiji chote kiliuliwa na nyumba na ngome,mbuzi kuchomwa, sababu eti "wasaliti", Akasema hii ndo maana wanavijiji walio mpakani mwa Ethiopia wako raadhi wapigane na Alshabaab wenyewe kuliko kuwaacha wapite manake wanaogopa Serekali ya Ethiopia kuliko Alshabaab...Ethiopia haina Uhuru wa vyombo vya habari.
Ethiopia hushambuliwa Sana kuliko unavyodhania weye,sema wanaminya ukweli,ni nchi ya kiimla kikomunisti Kama vile Tanganyika.
Kismayu ni mji ulio bahari hindi ambayo ni kama 200km .... Baada ya mwaka mmoja ilikua tumeua alshabaab 3,000Ww KDF ni jesh dhaifu, yaan kuingia tu mpakan hapo somalia (kisimayu) mlitumia mwaka mmoja ndo mkaweza kupita sasa huoni mlivyo viazi mbatata
Last week, the Minister announced that at least 3000 Al Shabaab militants had been killed in Somalia since KDF commenced the war on them.
Statistics at the Military headquarters here in Nairobi indicate that nearly 30 Kenyan soldiers have been killed since the war started.
KDF marks first anniversary since entering Somalia
NAIROBI, Kenya Oct 14 – Kenya Defence Forces (KDF) on Sunday marked the first anniversary since entering Somalia, with the message ‘we will not let you - Kenya breaking news | Kenya news today | Capitalfm.co.kewww.capitalfm.co.ke
Hii ni baada ya Alshabaab kuwakanya Serekali ya Tz kuingilia mambo ya Somalia, Kuna ule wakati serekali ya Jakaya kikwete ilikua inapaswa kutoa mafunzo kwa Wanajeshi 1,000 wa Somalia baada ya Kenya na Uganda kufanya hivyo.... Alshabaab wakatoa onyo kwa nchi yoyote itakayo saidia Serekali ya Somalia, tangu hi siku Tanzania haijawahi toa tamko lolote...Hao waisilamu toka Tanzania wanakuja kuwasaidia waisilamu wenzao wa Kenya mnaowapiga risasi na kuvamia misikiti yao, ndio sababu Alshabaab huwa wanawatenga waislam na wakristo kabla ya kuwauwa wakritso.
Kitu muhimu ni ninyi wakenya kupunguza kujifanya mnajua kila kitu, jaribuni kusikiliza na kujifunza toka nchi zenye Amani kama Tanzania, sisi huku kuna waisilamu wengi zaidi kuliko nchi yoyote hapa Afrika nashariki na kati, lakini husikii wakilalamika kwamba wananyanyaswa, hata Alshabaab wenyewe walisema hawana matatizo na Tanzania.
Mtanzania utaongea naye, acheke nawe, ufikirie nyi mmekua marafiki, Ukishaondoka yale atakayo kuongelea nyuma yako utashangaaHapa bro umenena kabisa...hawa jamaa wanachuki plus roho mbaya walai...
Hakuna nchi yenye raia wanafiki km watanzania...ukicheza nao watakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ingekua ni Serekali ya Tanzania inashika magaidi wa Kenya kwa kiwango hichi, Watanzania wangekua walishaanzisha propaganda kwamba eti Kenya inatuma magaidi waaende Tz kuangusha serekali na kuhujumu Uchumi wa Tz..
Mtanzania utaongea naye, acheke nawe, ufikirie nyi mmekua marafiki, Ukishaondoka yale atakayo kuongelea nyuma yako utashangaa
Kabisa...wanaume pia wana mipasho ajabu kule
Hizi ni propaganda za wakenya, wakishindwa kujenga hoja kutetea udhahifu wao, hukimbilia vyombo vya habari, dunia ya Leo iliyojaa smart phones, huwezi kuficha unyama mkubwa kiasi hicho, lazima ukweli utajulikana, acheni kujiliwaza, hakuna kinachofichika, Kenya mnamapungufu Mengi sana, ndio sababu yanajitokeza kila siku.Kuna msomali flani, aliniambia kuna kijiji flani mpakani mwa Somalia na Ethiopia, alshabaab walipitia hicho kijiji wakiingia Ethiopia, hicho kijiji kilikosa ku repot kwa serekali ya Ethiopia, baada ya siku kadhaa,Jeshi la Ethiopia lilifika hapo na kijiji chote kiliuliwa na nyumba na ngome,mbuzi kuchomwa, sababu eti "wasaliti", Akasema hii ndo maana wanavijiji walio mpakani mwa Ethiopia wako raadhi wapigane na Alshabaab wenyewe kuliko kuwaacha wapite manake wanaogopa Serekali ya Ethiopia kuliko Alshabaab...
Huyo msomali alipo nipigia hio story nilimuangalia tu, sikumuamini , nikamwambia kama jeshi la Ethiopia lingekua linafanya hivyo kwa wananchi wake hapo mpakani ingekua tuliskia kwa vyombo vya habari... Lakini kwa upande mwengine, hua hausikii habari zozote za Alshabaab huko Ethiopia... Kuna kauwezekano sababu ni hio ya hakuna uhuru wa vyombo vya wanahabari.
Hatuwafikii wanaume wa Mombasa ambao hawaeleweki ni wanaume ama wanawake.
Sasa nieleze kwanini hua ni nadra sana usikie habari zozote za vita kati ya wanamgambo wa alshabaab na wanajeshi wa Ethiopia? ndai ya mwaka mzima utasikia tu kama mara mbili, Angalau UPDF hua tunaisikia kwa vyombo vya habari mara kwa mara kule Mogadishu....Hizi ni propaganda za wakenya, wakishindwa kujenga hoja kutetea udhahifu wao, hukimbilia vyombo vya habari, dunia ya Leo iliyojaa smart phones, huwezi kuficha unyama mkubwa kiasi hicho, lazima ukweli utajulikana, acheni kujiliwaza, hakuna kinachofichika, Kenya mnamapungufu Mengi sana, ndio sababu yanajitokeza kila siku.