Hivi Sam, hivi vionjo huwa unavitoa wapi? Au ndo utu uzima dawa....π π πππ
Ila hawa viumbe hawana adabu kama bata tuu kumwaga radhi wao sio shida kabisaa aka kubambia heheheeee
Keeuwiiii hadi nimepata kiwi ghafla .....
Hakyamama leo ili nipate usingizi ni hadi ninjunjuliwe.....
Babu uchokozi huu....
Hahahahahhaa Sam mbona una fujo lakiniii..!!??
Watoto bado hawajalala ujue.... watapofuka macho hehehehehee π π π
Ila unaniongezea mwendo, endelea tuu...
Ndiyo maana mambo yetu tunatakiwa kuyaweka faragha, yakianikwa unakua sawa na mnyama.Hivi Sam, hivi vionjo huwa unavitoa wapi? Au ndo utu uzima dawa....π π πππ
Ila hawa viumbe hawana adabu kama bata tuu kumwaga radhi wao sio shida kabisaa aka kubambia heheheeee